Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
""ukiona mpka mwanamke anafikia hatua anakuomba pesa
Na kama huna pesa hakuna maelewano mazuri tambua mambo makuu matatu.......
1.wewe ameshakuchukulia ni ngazi ya kutimiza malengo yake.
2.sura yako na umbo lako limefanana na ATM MACHINE AU DUKA LA TIGOPESA AU MPESA
3.wewe ni baba mzazi wa hiari mwenye jukumu la kumlea yeye kama mtoto wake.
Na kama huna pesa hakuna maelewano mazuri tambua mambo makuu matatu.......
1.wewe ameshakuchukulia ni ngazi ya kutimiza malengo yake.
2.sura yako na umbo lako limefanana na ATM MACHINE AU DUKA LA TIGOPESA AU MPESA
3.wewe ni baba mzazi wa hiari mwenye jukumu la kumlea yeye kama mtoto wake.