Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh! kabisaaaaaa..Na mwanamke wa kweli anashindwa kila kitu, kazi yake kuomba omba tu,, ama umemaanisha vingine? Una ndoto ya gari ila ili ndoto yako itimie lazima nikununulie mimi,, maana yake unanihitaji zaidi!! Sijui nani amewaloga!!
Ukiona mtu analalamika na kudai haumuonei huruma it means unamkamua zaidi ya uwezo wake.
Yes ni jukumu lao kutuhudumia, lkn isiwe nje ya uwezo wake!! Una mahitaji yako na majukumu yako so he has his too. Ana ndoto zake za kutimiza pia, sasa kama hauzijali ndoto zake it means hauna mpango wa kuziishi hizo ndoto zake, na kwa maana nyingine hakuna upendo hapo..
Mwanaume unaempenda utataka kuona ana endelea zaidi, kwahiyo badala ya kumchuna tu utakuwa pia na mawazo ya kumsaidia kuongeza kipato, maana akipata it means umepata pia.
Kumbuka si kuwa kwakuwa wao ni wanaume basi pesa wanapata kirahisi tu.
Sijui mekula maharage ya wapi leo mimi.
Cc Nalendwa Heaven Sent
Jamaa yako ana akili sana! Ukitaka kutajirika sahau hawa watu kwa muda...Singles tunaishi kwa raha kweli.
Kuna jamaa angu aliniambia wanawake wanarudisha nyuma maendeleo ya mwanaume.
N.B alizungumzia wanawake hawa wa kuanzisha mahusiano unapokutana nae sio mke.
Vagina inachakaa mboo haichakaiLakini raha si mnapata wote?
Koh koh...Ukiona mtu analalamika na kudai haumuonei huruma it means unamkamua zaidi ya uwezo wake.
Yes ni jukumu lao kutuhudumia, lkn isiwe nje ya uwezo wake!! Una mahitaji yako na majukumu yako so he has his too. Ana ndoto zake za kutimiza pia, sasa kama hauzijali ndoto zake it means hauna mpango wa kuziishi hizo ndoto zake, na kwa maana nyingine hakuna upendo hapo..
Mwanaume unaempenda utataka kuona ana endelea zaidi, kwahiyo badala ya kumchuna tu utakuwa pia na mawazo ya kumsaidia kuongeza kipato, maana akipata it means umepata pia.
Kumbuka si kuwa kwakuwa wao ni wanaume basi pesa wanapata kirahisi tu.
Sijui mekula maharage ya wapi leo mimi.
Cc Nalendwa Heaven Sent
Mizinga ndo kipoozeo cha uchakavu Wa vaginaIkishachakaa na mizinga ndio inaisha au!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unaongea na mimi au na simu?Hahah!, huamini amini kama ni dada yako?
Mie mwenyewe sikuamini.
Anajitoaga ufahamu tu lakini akitulia vizuri, nondo zake sio za sayari hii. 🙂
Lazima kuna namna acha nimsubiri anieleze kamuingilizia nani wakati anacomment [emoji3][emoji3]Hahah!, huamini amini kama ni dada yako?
Mie mwenyewe sikuamini.
Anajitoaga ufahamu tu lakini akitulia vizuri, nondo zake sio za sayari hii. 🙂
[emoji3][emoji3]. Usicheke niambie ulikuwa unamuigilizia nani wakati unacomment[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ili niache kutumia yake si ndio!!!
Mie bado nimelala, sijaamka ujue!!!!!!Hahaha, sikuamini amini kama nilikuwa nakusoma wewe kweli. 😀
Seriously, umeshusha darasa mubashara dear.
Nimekuelewa na nilikuelewa toka ufafanue kuwa huwa unawakumbusha wakina kaka jukumu lao kubwa la kutafuta na kutunza, wao wakiwa kama vichwa vya familia.
Na hii kuhusu kuwatia moyo na kuwa support katika utafutaji, you're right on Point! [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Nimemuigilizia Heaven Sent mzee wa bonus[emoji12] [emoji12][emoji3][emoji3]. Usicheke niambie ulikuwa unamuigilizia nani wakati unacomment
Mpwa huwa anajitutumua kuandika hahaha.Nimemuigilizia Heaven Sent mzee wa bonus[emoji12] [emoji12]
Nimemuigilizia Heaven Sent mzee wa bonus[emoji12] [emoji12]