Wanaume wenzangu! Tupeane mautundu ya kukwepa Mizinga....

Wanaume wenzangu! Tupeane mautundu ya kukwepa Mizinga....

Mi nahisi kama nina bahati mbaya mkuu kila ninaye =mgusa ndo hivyohivyo...yaani malengo yao ni pesa tu hawaangalii mbele ina maana ni peke yangu Tu!
Mkuu hauko peke yako trust me
Hawa viumbe wako kimaslahi zaidi
 
Tatizo haujaowa lazima uwe buzi uliza walioowa unafikiri wanahaha kama wewe acheni uzinifu vijana mtaishia kupanga tu mwisho mnakufa na Ukimwi
 
Sasa ninyi mnataka nini? Tuwape bure, maana hamueleweki kabisa, bila pesa hupati kitu labda uende kijijini
 
Mkuu mizinga haikwepeki!!

Mi naonaga bora hawa wanaomba hela za kusukia na madera.... Elfu 50 50 sio mbaya

Kutana na hivi vi high class vina mishahara yao, hawakupigi mizinga ya kifala, k utapewa sana ila subiri siku anakuambia "baby niongezee milioni mbili kuna kiwanja nikichukue"

Manina,
ndo akili itakukaa sawa
hahahahah nimefurahi sana
 
hahahahahahahahahahah jana nimepigwa kizinga nimekipangua mpaka mhusika akacheka nilimwambia hapana sijui kesho inaenda kuwaje acha tu zibaki nazipenda pia
 
Very simple tu ukiona tu ana anza kukwita baby sijui I love you cjui nikwambie kitu cjui nataka nije kwako kuna kitu nataka tuongee hapo kaa macho weka mbali na watoto
Anza kuishi kisungura. Ukizubaa tu keshaomba laki 3. Hapo kukwepa inakuwa too late
 
Back
Top Bottom