Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,026
Unaongea na mimi au na simu?
Hahah!, halafu uzuri wako pande zote uko vizuri, kusutua na kuelimisha.
Ndo maana naku like! [emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongea na mimi au na simu?
Lazima kuna namna acha nimsubiri anieleze kamuingilizia nani wakati anacomment [emoji3][emoji3]
Yeah right!, njozi njema [emoji1]Mie bado nimelala, sijaamka ujue!!!!!!
Hahahahaaaaaa!!! Senzi wewe!Mpwa huwa anajitutumua kuandika hahaha.
Nimepitia uzi nikawa nasoma I'd na comments. Sasa comments yako nimerudia mara tatu sio kusoma comments ila ID Hahaha[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mmmh hii comment ni kwamba naota au macho yangu ndo uzee umekolea?
Mkuu hao sio wa kuwaingilia gia ya kipedeshee ....kimariooo zaidi kama avator yako inavyosema.Mkuu mizinga haikwepeki!!
Mi naonaga bora hawa wanaomba hela za kusukia na madera.... Elfu 50 50 sio mbaya
Kutana na hivi vi high class vina mishahara yao, hawakupigi mizinga ya kifala, k utapewa sana ila subiri siku anakuambia "baby niongezee milioni mbili kuna kiwanja nikichukue"
Manina, ndo akili itakukaa sawa
Hahaha mbona bonusNimemuigilizia Heaven Sent mzee wa bonus[emoji12] [emoji12]
Ham zako je zinaishia wapi au chaputa member ??Singles tunaishi kwa raha kweli.
Kuna jamaa angu aliniambia wanawake wanarudisha nyuma maendeleo ya mwanaume.
N.B alizungumzia wanawake hawa wa kuanzisha mahusiano unapokutana nae sio mke.
Akiamua kujichetua sasa[emoji126] [emoji126]Haha, sio kwa nondo hizi manake.
Teh shikamoo bonusHapo kaniandikia hs bwana, huoni Daby mpaka sasa anasoma id hajaielewa!
Ukiona mwanamke hakuhurumii wala kukuelewa ujue hauko moyoni mwake..
bora umwambie ukweli huna aamue kubaki au aende...
Mwanamke akikupenda kweli ataogopa kukupoteza
sio wewe uogope kumpoteza kisa humpi hela kila siku
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Haha, sio kwa nondo hizi manake.
Akiamua kujichetua sasa[emoji126] [emoji126]
Short and clearAS LONG AS UNAITAKA PAPUCHI MIZINGA HAIKWEPEKI MKUU
Very simple tu ukiona tu ana anza kukwita baby sijui I love you cjui nikwambie kitu cjui nataka nije kwako kuna kitu nataka tuongee hapo kaa macho weka mbali na watoto