Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Yani weweeeemama la mama-mfilipino
I miss you!
hivi Valentine imeshapita?
nina zawadi yako ya makinikia hapa haha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani weweeeemama la mama-mfilipino
I miss you!
hivi Valentine imeshapita?
nina zawadi yako ya makinikia hapa haha...
Kuna tatizo mama?Yani weweeee
UnajuaKuna tatizo mama?
Nipo hapa niambie
Kweli.dogo alivyomaliza tu form 4.akatimkia south africa.cape town.alishaona TZ sio.Jamaa yako ana akili sana! Ukitaka kutajirika sahau hawa watu kwa muda...
Kwa lugha sahihi unazungumzia ukahaba,, ama?Sasa ninyi mnataka nini? Tuwape bure, maana hamueleweki kabisa, bila pesa hupati kitu labda uende kijijini
[emoji23] [emoji23] io ndio simple way mzee babaMkuu me ndo nipo gym wiki ya 2 now c unajua tena
Haichakai hio, ingekua inachakaa wanawake wasingekua wanachepukaVagina inachakaa **** haichakai
Inachakaa ndugu Yangu ndo maana zinaitwaga Rambo.Haichakai hio, ingekua inachakaa wanawake wasingekua wanachepuka
upo sawa kabisa, na mwanaume kutumia nguvu nyingi sana hasa pesa kumfurahisa mwanamke ni kujiandaa kuvuna mabua...hapo kuna kua na kijibiashara flani hiviUkiona mwanamke hakuhurumii wala kukuelewa ujue hauko moyoni mwake..
bora umwambie ukweli huna aamue kubaki au aende...
Mwanamke akikupenda kweli ataogopa kukupoteza
sio wewe uogope kumpoteza kisa humpi hela kila siku
Mchekeshaji Trevor Noah wa Afrika kusini alinukuliwa akisema "Remove Sex from the relationship, you will find that a woman has nothing to offer in that relationship"Hali imekuwa mbaya sana kwa sasa,kila unaemgusa Interview yake Pesa mapenzi baadae. ukizingatia na hali ya uchumi kwa sasa hawa watu nimegundua hawana huruma kabisaaa,eti kisa ni wazuri hivi kweli tumekosa mbinu mbadala ya kuanzisha mahusiano bila pesa kuwa kiingilio kama passport. Hivi mwanamke mmepanga malengo mengi ya kimaendeleo na mnataka kufanya Ishu za maendeleo lakini yeye hatambui Hilo ni mizinga Tu sasa hizo pesa za kukamilisha hayo malengo mtaokota...wakuu makapuku wenzangu tushauriane hali ni mbaya sana...
Sio ukahaba wala sio biashara, ila bila matunzo humpati yeyoteKwa lugha sahihi unazungumzia ukahaba,, ama?
Kwahiyo hauamini eeh!!Haha, si ni mpaka..
Na ya mama mkwe iko wapi?mama la mama-mfilipino
I miss you!
hivi Valentine imeshapita?
nina zawadi yako ya makinikia hapa haha...
The boss! Leo umefeli.Kumhudumia mwanamke wako Ni sawa Na chakula.Hapa hatuongelei pesa nyingi.Vile vitu vidogovidogo Na muhimu.Mfano kumpendezesha mpenzi wako...n.k.Au nyie tatizo lenu Ni lipi??? Maana sasa Ni shida.Mbona mnakimbilia Sijui kujenga Sijui future!! Salon , Nywele ya kusukia Na Future wapi Na wapi .Acheni hizo.Mwanamke Ni Pambo la nyumba.Ni jukumu lako kumpamba .Sema siku hizi mmevimba kichwa kwa kuwa Na sisi tunaingia fent font.Basi mnataka kwenda sawa.Sisi tubaki wenyewe, bakini wenyewe.Malalamiko yaishe.Mwanaume wa kweli hakimbii majukumu yake Bali atatafuta njia ya kupanua wigo wake ama VP unamfungulia vyanzo vya mapato mpenzi.Sasa vyote hutoi.Unakuja kulialia Hapa.Aibu!!!!!
sawa the bossUkiona mwanamke hakuhurumii wala kukuelewa ujue hauko moyoni mwake..
bora umwambie ukweli huna aamue kubaki au aende...
Mwanamke akikupenda kweli ataogopa kukupoteza
sio wewe uogope kumpoteza kisa humpi hela kila siku