Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Uduguu ulikuwa wapi jomoooni! Unakosa vichambo huku [emoji2222]nani kakuficha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu vichambo vilikua tangu asubuhi, nikaamua kusepaa zangu, sasa naona huku nyuma ndo moto uliwakaa vilivyo.

Ila JF daah. Kazii ipoo
 
Sisi ambao weusi lkn vijeba,hutupatii hata kaua kamoja?[emoji41][emoji41][emoji41]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu vichambo vilikua tangu asubuhi, nikaamua kusepaa zangu, sasa naona huku nyuma ndo moto uliwakaa vilivyo.

Ila JF daah. Kazii ipoo

Hata kunitag uduguu jomooni [emoji18] mimi nitapingua urafiki [emoji23]
 
Hata kunitag uduguu jomooni [emoji18] mimi nitapingua urafiki [emoji23]
Mbna mume wako country alikuwa muda ulee, wee ulikwamaa wapiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unapinguaje urafiki? Bila mie utatambaa humu sasa??kaa kwa nywilaa
 
Nimekuwa teja uduguu umeniharibu na hawa viumbe wazito wa jf [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF ina heka heka udugu, hata Twitter haifikii, mello kainyima space na voice notes, mbna pangekua panawaka humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…