Japokuwa simpendi kabisa huyo coca, Ila kama coca kalipitisha hili, naomba liwe kweli. Cute wife utaishi maisha ya furaha sana
Hebu nisaidie hili liwezekane, baada ya hapo ntaanzq kukupenda
[emoji1] [emoji1787] [emoji23]Hey hey jf members
Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX
Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni hayo tu
Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]
Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
Mleane hakuna wa kumlaumu mwenzieUlitaka nitafute baada ya muda gani?
[emoji16]penzi kikohozi, kuficha ngumu sana[emoji12] khaaaa!![emoji119][emoji119] mwanaume muongo wewe? Hayo mahaba yameanza lini?!! [emoji2222]
[emoji16]penzi kikohozi, kuficha ngumu sana
Nimehisi tu atakua anakusalimia maana sjaona Leo akikutaja humu jf
Kuwa na mwanaume mwingine Tena mmoja tu Ndio umalaya??? Na hatuko pamoja miezi 9 Sasa, hujui madhara ya nye*e???? Madhara ya kuwa mpweke??
He used to cheat on me Kila mara ikafika kipindi nikachoka tumepeana space miezi 9 Sasa, mwezi wa 3 nikapata mwanaume mwingine ndio niko nae cheusi wangu
Nmemuona sjui ilimlia nn jamnNdio huyo kashafika [emoji1787]
Nmemuona sjui ilimlia nn jamn
Mm naona kila akipata nafas anakuchachafya kama ulikula pesa yake bure na hajapata hudumaKwani kawaje [emoji12]
Mm naona kila akipata nafas anakuchachafya kama ulikula pesa yake bure na hajapata huduma
Amenipiga tukio moja hilo acha tu, cute wife sitamsahauMm naona kila akipata nafas anakuchachafya kama ulikula pesa yake bure na hajapata huduma
Duh kwan anapatikana wap huyu @ cute wife nam anipge tukioAmenipiga tukio moja hilo acha tu, cute wife sitamsahau
Mwanaume asiejua na akili ya kutatua changamoto na kukuongoza aiseee hata aweje...Hayo mambo ya urefu na ufupi kwa mwanaume Kama kichwani hamna kitu ni kazi bure.
Sikushauri, huyu acha nipambane nae tu Mimi. Cute wife ni jezebelDuh kwan anapatikana wap huyu @ cute wife nam anipge tukio
Jezebei ndo inamaana gani sisi wengne n wamikoaniSikushauri, huyu acha nipambane nae tu Mimi. Cute wife ni jezebel