Clepatina
JF-Expert Member
- Apr 8, 2023
- 1,266
- 2,577
Si bora angekua singo maza sasa?Kudate single mom ni janga.
Mume wa mtu huyo🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si bora angekua singo maza sasa?Kudate single mom ni janga.
kuwa makini yasijekukuta kama yetu hatujatumiana text tuna more than a year kusubiriana 🤣Tumetengana kwa sababu ya umalaya wake, ndio bado nampenda tena sana tu tatizo letu ni hilo tu tumepeana space kwa muda
Huyu ni mwanamke..kuna mwaka alifiwa na mwanaye mchanga kama sijakosea...Acha ujinga mwanaume mzima kujifanya mwanamke nyoooo
Ni mbaba na ndevu anazo😃😬🤣Huyu ni mwanamke..kuna mwaka alifiwa na mwanaye mchanga kama sijakosea...
Asimilia 80 ya pisi kali za jf ni masela.Wanaume wanaotumia id zakike😂 wanatuchukuliaje sisi vijeba.
Me nakuja pm kukutongoza ivo ivo madam utanikataa mbele kwa mbele,inabid kabla hujarud kwa mmeo wanaume weusi warefu km sisi tukuonje kidgHey hey jf members
Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX
Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni hayo tu
Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]
Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
Hakuna uhusiano wa aina yyte kati ya hiyo picha na alieleta huu uzi, hakuna hakunaHuyo kwenye profile picha yako ndio wewe madam?
Acheni huuu usenge na ujuaji wakulazimishana jinsia kwa watu msiowajua, Mkuu!! Sijui utajisikiaje me nikisema lets say we ni mwamba me niseme we ni demu na umetoka kuliwa mbuz kagomaWewe ni mwanaume
Wanaume weusi warefu, watam...hasa wamasai + Wasukuma!
Dfn ya Malaya ni ipi? Yeye ni chovya chovya Kila shimo yumo hajui anataka nini
Mm nimepata mahusiano mengine kwasababu yake nimekuwa nae kwenye mahusiano for the 7yrs sijawahi kumsaliti na hata Sasa sijamcheat
nilikua na subiri tafiti za kiintelijensia kwanza ndo nianze kucomment😂😂😂😂😂😂Wewe ni li baba tulia tutakuumbua wewe tapeli nenda kanyoe midevu hiyo.
Uzuri wana JF wameshakushitukia
sawaHey hey jf members
Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX
Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni hayo tu
Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]
Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
Nina maua yako, mwanamke yeyote anaejielewa physical appearance sio preference yake kwa mwanaume sijui ana ndeve, mrefu, sijui mfupi, mweusi, mweupe etc hayo mambo ya watoto wa sekondari.Hayo mambo ya urefu na ufupi kwa mwanaume Kama kichwani hamna kitu ni kazi bure.
Eeh story za tdh zimerudi tena jf. Kelsea ur legacy lives onHey hey jf members
Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX
Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni hayo tu
Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]
Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]