Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Una uwezo huo? Unajua nilifungiwa kisa nn na nan alinifunguliaa?? Hebu kaa kmyaa, nikikugusa unajiliza kwa modes,

Uniwezee mie, heka heka nastaafu mbna.usiniletee balaa.
Wee hata hukuuhusika, na hata walio husika wenyewe wamenishindwaa.

Km kweli nilifungua I'd ingne, mbna leo niko na hii ya mda??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha wee.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Uduguu mbona sasa mtu na shemejiye wote micharuko hii ndoa nitaiweza miye atiii! Si itakuwa kivumbi ndani vyombo vitapona kweli?
 
Yaan yeye aamue anacheza na ipii ili akate kiu yakee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2222][emoji2222]
 
Hey hey jf members

Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX

Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Ni hayo tu


Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]


Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
Bantu Lady njoo useme kitu
 
Back
Top Bottom