Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Wanaume Weusi warefu Pokeeni maua yenu

Hapana ni tofauti
wewe huezi kujiona ila kwa uzi huu mimi nakuchana.

maana kwa mwanamke aliyetulia anavumilia mapungufu ya mwanaume wake ila wewe inaonekana kama hujapata mwenye sifa unazozitaka hapawezi kalika utalala hata na wanaume 1000.

umelala na wanaume wangapi ukapata utafiti wako ni kweli ?

una uhakika wanaume wote warefu weusi wako hivo ?
 
wewe huezi kujiona ila kwa uzi huu mimi nakuchana.

maana kwa mwanamke aliyetulia anavumilia mapungufu ya mwanaume wake ila wewe inaonekana kama hujapata mwenye sifa unazozitaka hapawezi kalika utalala hata na wanaume 1000.

umelala na wanaume wangapi ukapata utafiti wako ni kweli ?

una uhakika wanaume wote warefu weusi wako hivo ?

Shida iko wapi kwan? Yako ama yangu?? Tusipangiane
 
Hey hey jf members

Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX

Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Ni hayo tu


Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]


Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
Id ya kiume hii nimekaa pale
 
Hey hey jf members

Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX

Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Ni hayo tu


Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]


Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
Two Possibilities.
1: Wewe ni malaya unajitangaza.
2: Wewe ndiyo huyo "Mwanaume Mweusi" umekuja kujiandika huku kwa ID ya kike.

Pathetic.
 
Hey hey jf members

Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX

Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Ni hayo tu


Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]


Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
Tumeyapokea
 
Hahaha ni kweli maana hiyo miaka yote nimekua nakula ya baba watoto tu’ huyu mkaka mweusi at first sight nilimdharau kiukweli ila nilivyokutanisha nae nyama to nyama mmmmhhh mmmhhh ni mtamu bwanaaaa[emoji108]
Duuh
 
Nakupongeza sana!! Binafsi napenda kila mtu aenjoy maisha yake... Na ukipata Fanya saaana! Yaaan Kama haitatokea tena.. mpe anapotaka akupige kweli mashine tena ikiwezekana mpka ushindwe kutembea! Yaani zungush kiuno haswaa!
 
Hey hey jf members

Jamani nina Kama miezi kadhaa tumetengana na baba watoto wangu ni mrefu mweupe still nampenda hadi kesho kutwa, ana kila sifa nzuri ya mwanamke yoyote kuwa nae isipokua UMALAYA PRO MAX

Sasa tulivyotengana nikapata this guy bwanaaah mweusi mrefu ananyoa kipara ana gym body aiseeeee ni fayaaaaaaa jamaa yuko vzr muda wote yuko hooooot[emoji39][emoji39] its my first time to date a mwanaume mweusiiii jamani kumbe watamu hadi watamu tena mpewe maua yenu (Ila ana gubu kulalamika Kila muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Ni hayo tu


Nb: muda wowote narudiana na baba watoto wangu, kwake naupooza moyo tu[emoji85]


Siko hapa kuhitaji ushauri wowote, au mwanaume hapana… nimekuja kuwapa maua yao tu wanaume WEUSI WAREFU[emoji7]
Ungekuwa mke wangu aaa tungeendana!! Tunapeana at least space kidogo! Kwan lazima kila siku pori ilo ilo...
Vitoto vikali ni vingi tusibanane saaana
" Ndo maana wengi huwa tuna safe House na Dark site"
 
umenikumbusha mwaka 2017 hili jibu nilishawahi kujibiwa na demu wangu alikua kicheche hatari nilipomuorodheshea wanaume wote waliopita naye karibu mtaa mzima ambaye hakula ni mzembe tu.

akanijibu hivi hivi yaani [emoji119][emoji1]
Hahaha
 
Back
Top Bottom