Wanaume woooote ni ...........mdada usimwache laazizi wako kwa hili

Wanaume woooote ni ...........mdada usimwache laazizi wako kwa hili

@Arusha, baba mngoni, mama mchagga.

Sio kwamba nawatukana kaka zangu ila nimegundua wanaume wooooote ni malaya
Ukimsikia mwanaume anauponda umalaya basi jua kuna mambo haya:

1.Finencial Statment yake hairidhishi-i.e hata kama anaingiza hela nzuri kwa mwezi majukumu na mikopo vimenzonga
2.Biological defects (physiologically ana matatizo) a.k.a sio buheri wa afya
3.Hofu ya mungu (kuwaza sana life after death) HII IKO DHAIFU

My take:Mdada usije ukawaza kumwacha mmeo/bf kisa umeproove katoka nje.Mmeo kama ni akionea (laki haimpigi chenga) jua unashare na mdada mwenzio/wenzio either kama nyumba ndogo au kwa hit and run stlye.

"WANAOJISIFU WAUME ZAO WAMETULIA wanajidangaya na kama ni mtulivu basi hana hela na au sio handsome"
by Bebii wa JF

wewe ni kicheche period. utake ustake habari ndo hiyo.
 
Aseee....
huyu Maria wa Tina hebu apewe ukatibu uenezi..itikadi za Infidelity Social Club.
ngoja nirudi zangu kwa akina Rejao kule Igunga kwa kile chama kipya cha BAKWATA kilichishinda uchaguzi wa ubunge.
 
Marytina nikuambie tu kuwa ukweli ni kuwa suala la mtu kufanya mapenzi ni la kibayolojia zaidi. Ni kweli kuwa kila wanaume wengi waliooa kuna wakati wanatamani kufanya mapenzi na mwanamke asiye mke wake... Hii inamtokea mwanaume (hata wanawake), mara moja, mara 2, mara 3,.... mara 100, na mara zote hizo kuna nguvu inamwambia usifanye hivyo maana unamkosea mungu, unamkosea mkeo, unahatarisha afya yako... Roho inataka lakini mwili ni dhaifu, kuna siku moja au mbili au tatu... au kumi kati ya hizo mia uzalendo unamshinda anajikuta kafanya. Ila usikatae kuwa kati ya wanaume kumi, kuna wawili, watatu, au hata saba watakaoweza kushinda hivovishawishi vya kusaliti ndoa zao... usikatae, lakini usiamini kuwa kila mwanaume anayesema humu kuwa yeye mwaminifu, basi ndiye mwaminifu...
ungekuwa free ningekutumia mara kwa mara kwa kunipa ushauri/ufafanuzi wa yanayonisibu
 
mahandsome na mapedezyee ni noma kwa kucheat, hawajatulia, waliotulia ni wachache mno mno, na kama ni handsome halafu hana pesa, mashugamani wanamchukua, wengine wanafundishwa hata na marafiki zao kujiuza kwa mashugamani, yaani unaikuta crew wameshajitambua na kuelezana kuwa wao ni mahandsome sana, basi kinachobakia ni kujiuza kwa majimama tu, ana kuwa busy kupita kiasi, kumbe anakucheat na jimama lililomwajiri kwenye kampuni yake.
 
ungekuwa free ningekutumia mara kwa mara kwa kunipa ushauri/ufafanuzi wa yanayonisibu

Pamoja na majukumu ya hapa na pale ya kutafuta ugali wa familia sijawahi kukosa mda wa kuchat na kushauriana na marafiki...
 
Aseee....
huyu Maria wa Tina hebu apewe ukatibu uenezi..itikadi za Infidelity Social Club.
ngoja nirudi zangu kwa akina Rejao kule Igunga kwa kile chama kipya cha BAKWATA kilichishinda uchaguzi wa ubunge.
duh!nimekumiss sana
hapo red:mimi ni muwazi sana ndio maana mnaniona na belong infedelity chember ila nakuapia mkeo ana mambo zaidi yangu
 
iii ishi we maria hata masheikh,padre na wachungaji nao wamo?....shauri yako!

we wapo pia watu wa dini wanaowacheat wake zao kinoma, hata hao mapadre, kesi zao si unazisikiaga kwenye redio na magazeti.
 
Pamoja na majukumu ya hapa na pale ya kutafuta ugali wa familia sijawahi kukosa mda wa kuchat na kushauriana na marafiki...
nitaku-PM kuna issues zinanichanganya
 
mahandsome na mapedezyee ni noma kwa kucheat, hawajatulia, waliotulia ni wachache mno mno, na kama ni handsome halafu hana pesa, mashugamani wanamchukua, wengine wanafundishwa hata na marafiki zao kujiuza kwa mashugamani, yaani unaikuta crew wameshajitambua na kuelezana kuwa wao ni mahandsome sana, basi kinachobakia ni kujiuza kwa majimama tu, ana kuwa busy kupita kiasi, kumbe anakucheat na jimama lililomwajiri kwenye kampuni yake.

Kwa sababu ya ubahili wa wadada wenye vipato. Wameshajijengea kuwa pesa lazima atoe mwanaume... Ukimpa pesa wewe kuna haja gani ya yeye kwenda kwa mashugamami?
 
Dayuum! Shit is poppin’ in this mugh!


MaryTina done started something….
 
kumbe tunafanana
hata mimi nimeapa simuachi kwa namna yeyote

Basi tumemaliza....hayo mengineyo ni kutaka kuutesa moyo bila sababu, kwani hata hukijua huna mpango wa kumuacha.... so what!?
 
Back
Top Bottom