Wanavuta bangi pale Arsenal?

Wanavuta bangi pale Arsenal?

Neno naambiwa sio ishu!ni kutoka vyanzo vya uhakika kama sky sport,Daily mirror na n.k!au ningeandika nimesoma?au nimesikia?vyote nilivoandika ni ukweli usemwao na vyombo vya habari vya kuaminika!!!Hata leo Wenger kaongea kuwa yeye kama mshabiki wa arsenal atamsapoti kocha yeyote atakaekuja lakini ukweli ubaki pale pale kuwa ARTETA HANA UZOEFU KABISA WA KUWA KOCHA!!!
Arteta , lampard , na Ole wote ni mizigo tuu hakuna kocha palee ..
 
Si kila kocha mwenye cv kubwa atafanya vizuri vile vile si kila kocha ambaye hana cv kubwa atachemka. Zidane bila cv kubwa kachukua ucl mara tatu mfululizo
 
Makocha wakubwa kabla ya kuja wanataka kuhakikishiwa hela ya usajili, arteta hana mashariti hayo ndio maana wameona anawafaa.
Mid naipenda arsenal damu, arteta kupe sijapenda ila kisokatusihukumu kwanza pasina matokeo.

Ila binafsi nilipenda aje kocha tayari ana CV iliyoshiba. Carlo angetufaa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zamani ilikua inawezekana kuchukua wachezaji ukawakuza na ndio maana wenger alifanikiwa sana miaka hiyo . Baada ya mfumo wa soka kubadilika na kua kibiashara zaidi bei za wachezaji zimekua kubwa mno, vilabu vyote vikubwa vinatumia gharama kubwa hata kwa makinda. Sasa hivi bila kutumia hela hamna cha maana.
kumbukeni ata wenger mwenyewe hakuwa na cv lakini aliifanyia arsenal vingi sana so ata ateta hana uzoefu wa kufundisha ila anaijua vema ligi kuu ya england

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kila kocha mwenye cv kubwa atafanya vizuri vile vile si kila kocha ambaye hana cv kubwa atachemka. Zidane bila cv kubwa kachukua ucl mara tatu mfululizo
Zidane amekaa kwenye benchi la ufundi la Madrid miaka 6, amekaa pamoja na Allegrin, Crpelo, Mourinho, Anceloti na Benitez , ni uzoefu tosha huo labda uwe kichwa maji tu
 
Wanavuta bangi pale Arsenal, ngoja muda utueleze tujue nani mshindi.
 
Hilo ni swali ambalo Mmiliki wa liverpool John w.Henry aliwahi kuuliza hasa msimu wa 2012/2013 pale ambapo Arsenal walitaka kumsajili Suarez kwa Paund mil. 40 wakaambiwa waongeze hela wakaongeza Paund mil. 1 na kuwa 41! Yeye W. Heny aliwaona kama mateja wasiojielewa wanataka nini!!

Nimeikumbuka kauli hii leo baada ya kuona eti Arteta anaenda kuwa Meneja mpya wa Arsenal kwa mkataba wa miaka mitatu na nusu kwa mshahara ule ule wa Unai Emery wa Paund mil. 5 kwa mwaka!!! Najiuliza hv pale Arsenal wanavuta chaa Arusha tena chenye mbegu kabisa?

Mike Arteta hana historia ya kufundisha hata championship! Kama Emery mwenye CV nzuri ameshindwa je Arteta anaweza nini??

Naambiwa Arsene Wenger wakati anaondoka alipendekeza CARLO ANCELOTI wao wakapiga chini wazo lake! Nasikia walimwita Max Allegri kwenye interview ,Allegri aliwauliza arsenal 'Kwanini mnataka mimi kuwa meneja wenu? Arsenal wakakasirika wakamuona ni mjivuni na mkorofi hivyo hafai kabisa!

Nasikia Walivutiwa na Emery kwasabb jamaa alikuja na video analysis ya kila mchezaji wa arsenal ikionesha uimara na udhaifu wa kila mchezaji na akaonyesha namna atakavo improve wachezaji hao!Arsenal wakamuona anafaa kwasababu hatotumia fedha nyingi kwenye usajili!!!

Leo Arteta anapewa mkataba kisa anaijua arsenal na wachezaji wake!!!sababu hii ni ya ajabu!kwani Ljumberg haijui Arsenal?ina maana Arteta anaijua Arsenal kuliko Ljumberg?wakati fred ljumberg kafundisha Arsenal tim ya vijana na kila siku yupo viunga vya Arsenal tena aliichezea kwa mafanikio kuliko Arteta!Haya ni maajabu kabisa!!

Kumbe W.Henry hakukosea alipouliza "Do they smoke there at Arsenal"? Ngoja tuiione Arsenal ya MIKEL ARTETA!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna ka ukweli because Arsenal finished 8th place mfululizo in two seasons katika EPL and Arsenal failed to qualify for the major European competition since 1995 under Arteta
 
Hilo ni swali ambalo Mmiliki wa liverpool John w.Henry aliwahi kuuliza hasa msimu wa 2012/2013 pale ambapo Arsenal walitaka kumsajili Suarez kwa Paund mil. 40 wakaambiwa waongeze hela wakaongeza Paund mil. 1 na kuwa 41! Yeye W. Heny aliwaona kama mateja wasiojielewa wanataka nini!!

Nimeikumbuka kauli hii leo baada ya kuona eti Arteta anaenda kuwa Meneja mpya wa Arsenal kwa mkataba wa miaka mitatu na nusu kwa mshahara ule ule wa Unai Emery wa Paund mil. 5 kwa mwaka!!! Najiuliza hv pale Arsenal wanavuta chaa Arusha tena chenye mbegu kabisa?

Mike Arteta hana historia ya kufundisha hata championship! Kama Emery mwenye CV nzuri ameshindwa je Arteta anaweza nini??

Naambiwa Arsene Wenger wakati anaondoka alipendekeza CARLO ANCELOTI wao wakapiga chini wazo lake! Nasikia walimwita Max Allegri kwenye interview ,Allegri aliwauliza arsenal 'Kwanini mnataka mimi kuwa meneja wenu? Arsenal wakakasirika wakamuona ni mjivuni na mkorofi hivyo hafai kabisa!

Nasikia Walivutiwa na Emery kwasabb jamaa alikuja na video analysis ya kila mchezaji wa arsenal ikionesha uimara na udhaifu wa kila mchezaji na akaonyesha namna atakavo improve wachezaji hao!Arsenal wakamuona anafaa kwasababu hatotumia fedha nyingi kwenye usajili!!!

Leo Arteta anapewa mkataba kisa anaijua arsenal na wachezaji wake!!!sababu hii ni ya ajabu!kwani Ljumberg haijui Arsenal?ina maana Arteta anaijua Arsenal kuliko Ljumberg?wakati fred ljumberg kafundisha Arsenal tim ya vijana na kila siku yupo viunga vya Arsenal tena aliichezea kwa mafanikio kuliko Arteta!Haya ni maajabu kabisa!!

Kumbe W.Henry hakukosea alipouliza "Do they smoke there at Arsenal"? Ngoja tuiione Arsenal ya MIKEL ARTETA!!!
Mkuu nikurekebishe kidogo , mkataba wa Luis Suarez ulikua unasema timu yoyote itakayolipa zaidi ya paundi milioni 40, wataruhusiwa kumsajili,

sasa Arsene Wenger na ubahili wake akaongeza paund moja tu, ndio ni paundi moja na sio milioni moja (40,000,001) wenger alijua atatrigger release clause ya Suarez, yaani ulikua uhuni wa hali ya juu wa Mzee Wenger ndo maana mmiliki wa Liverpool akauliza huko Arsenal wanavuta nn?
 
Back
Top Bottom