Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,930
- 2,118
Ni wana Yanga pekee wanaowaza tofauti na binadamu wengine. Wao ndio pekee wanaoamini kuwa Chelsea Atatwaa ubingwa wa English Premier league wakati kazidiwa points 16 na anayeongoza ligi lakini Simba hawezi kamwe kutwaa ubingwa wa NBCPL wakati kazidiwa points 6 tu na anayeongoza ligi.
Akili zao zilichanganywa sana wakati wa kuunganisha mawasiliano.
Akili zao zilichanganywa sana wakati wa kuunganisha mawasiliano.