Wanavyuo, kwanini huwa mnaona noma kutaja majumbani kwenu?

Mbona mimi ni msukuma wa misungwi niko pale nyakato mwanza na huku chuo huniita mwamasu lakin poa tu,mkataa kwao ni mtumwa,dar tunapita tu
 
But sio sababu ya mtu kupakana kwao
Itafute sababu sasa ulete kama haitabaki kuwa dar ndo city iliondelea tz nzima, hiyo tu inajenga notion ya kila mtu kuona kutokea dar ndo ujanja,fanya tafiti my dia,mikoa mingine ipo nyuma sana kimaendeleo na haimjengi mtu kupenda alipotokea.
 
Itafute sababu sasa ulete kama haitabaki kuwa dar ndo city iliondelea tz nzima, hiyo tu inajenga notion ya kila mtu kuona kutokea dar ndo ujanja,fanya tafiti my dia,mikoa mingine ipo nyuma sana kimaendeleo na haimjengi mtu kupenda alipotokea.
Kwahiyo jirani yako akiwa na mjengo mkali kapaki ndinga kali ndo utawaonesha kuwa pale ndo kwenu? Ulimbukeni
 
Kwahiyo jirani yako akiwa na mjengo mkali kapaki ndinga kali ndo utawaonesha kuwa pale ndo kwenu? Ulimbukeni
Yes ma dia kwa hiyo Umeona eeehhh, wenye dhana hiyo kweli ni ulimbukeni na ni utoto,na ndo maana nilisema mwanzano kwamba yote hiyo ni fallacy,lakini chanzo cha haya yote itabaki kuwa kwenye point yangu ya hapo juu.
 
Kwa sisi tunaoishi vijijini kama hujafika Dsm unaonekana wewe ni mshamba hatari. Ndio maana rikizo watoto wanapenda kwenda Dar
 
hahahahaaaaa.....yan mbavu sina rafiki angu mmoja kila likizo anaenda dar kwanza kisha ndo arud chuo kubadili mavazi na mitindo mingine ndo aende kwao bariadi
Hahahaha dah umetaja nyumbani kwetu kabisa.....They call it bariadi,we call it home.... Simiyu Express
 
Swali la nyongeza, kwa nn waTz wengi wakiwa nje ya Africa hujitambulisha wanatokea Kenya? Thats my observation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…