Wanawake 500 wapata mimba kwa upandikizaji Arusha

Wanawake 500 wapata mimba kwa upandikizaji Arusha

kwani ibrahim na sara kwanini walifungwa tumbo, kama unaelewa.
Mie sifahamu Mkuu; Labda kwa kuwa perspective yangu kwa Mungu ni tofauti na waandishi; ANyway uanweza kunipa Jibu la Swali langu hapo juu? Kwamba Mungu anamjaribu mtu akiwa na Lengo gani? Keep in mind that he is All knowing kama inavyosemekana.
 
Kenya kuna cases za hivyo but kabla mtoto hajazaliwa mama mbebaji akazingua mbaya.

Wanaofikiria hii kitu. Hakikisheni kuna mikataba mikali kati yenu
She got attached to the baby!!!
Yai sio langu it's not my baby!! Au aliyebeba alikuwa kigori hajawahi kuzaa?

That's why they need to be paid handsomely. Sema huku bado tuna ujamaa unaweza tu kuomba cousin wako akubebee kiroho safi
 
Doctor Mazuguni Nicholas huyu jamaa bingwa nawafahamu baadhi ya watu alio wasaidia wengine wanaumri mkubwa kabisa ambao sikuamini watazaa naomba kuwashauri wa Tanzania hii ni technology nzuri na salama kabisa tena imechelewa kuanza nchini kwetu huko kwa wenzetu ni kawaida kabisa, wanawake muda wa kulia, kushinda makanisani kwa wasaka tonge, kwenda kwa waganga kumaliza pesa kwa wahuni acheni mnapoteza muda changamkieni hii fursa wanaume msiwaache wake zenu kisa uzazi tafuteni pesa mfanye matibabu ya IVF inawezekana kabisa kuwa na familia nzuri na yenye afya msinyanyase hao kina mama wasaidieni.
 
Back
Top Bottom