Wanawake acheni tamaa, mnajidhalilisha

Hio ni falsafa ya MADEMU kama hakuitaji atakua anakuomba sana pesa...
 
Acha kujidhalilisha. Iko siku mkeo akikuimba hela ya kutumia nyumbani utaleta hapa. Mwanamke kutunzwa. Kuwa na njaa ni sehemu kutunzwa.
Ushasema mke mm sjaoa
Mm kataa ndoa
Natunza vbunda
Sipg kizembe kwa kigezo cha uanamke matunzo
Wajnga kama nyny ndo mnaoliwa
Sjamuanika hata jina wa picha yake haionekan
 
Acha kujidhalilisha. Iko siku mkeo akikuimba hela ya kutumia nyumbani utaleta hapa. Mwanamke kutunzwa. Kuwa na njaa ni sehemu kutunzwa.
Nikiona neno congo nakumbuka neno vumbi....
Ukichukia VUMBI + CONGO =VUMBI LA CONGO
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ€“πŸ€“πŸ€“
 
Aisee hii dunia ina mengi ya kushangaza, wewe si ndio umetoka kuanzisha uzi unatamani kuwa lecturer? Na jinsia yako umetaja ni ke? Sasahivi umekuwa dume? Au jinsia yako inabadirika baada ya mda?
 
Nimejarbu kumzum ni design ya kanga moko au laki si pesa
 
Aisee hii dunia ina mengi ya kushangaza, wewe si ndio umetoka kuanzisha uzi unatamani kuwa lecturer? Na jinsia yako umetaja ni ke? Sasahivi umekuwa dume? Au jinsia yako inabadirika baada ya mda?
Du kule nmesema mm jike?
Kwel Tanzania wajinga wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…