Wanawake acheni tamaa, mnajidhalilisha

Wanawake acheni tamaa, mnajidhalilisha

Dogo usijifanye shule umeenda peke yako pumbavu
Screenshot_20230428-182358.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipooo.
 
Vilevile sijawahi kujifanyanya mwanamke humu katka post au comment zangu, pia nshawahi badili Id ( munch wa annabelletz47)
 
Bwana leo nikasema nmkumbuke ex Wang maana toto ni nzuri a.k.a la kwenda, basi nikachati nalo uko Facebook kwasabab namba yake nimefuta (namuheshimu ninae ishi nae,sijaoa), kweli bwana nafungua tu Facebook mtandao wake pendwa nikamkuta online tutakaanza kuchat.

Mwsho wa kuchat ukawa kama hvo Chin
Ha ha haaa hawa watu baadhi yao wamekuwa kama hawana akili nzuri, maana mkishaanza tu mawasiliano chap tu mtu anakimbilia salio., oooh nina shida, ooh mam anaumwa, oooh ntakurudishia mmmh kazi ipo kwa hawa raia., wanaume inatakiwa kukaza na kutumia salio zetu kwa akili.
 
Wajameni ukiona mpenzi/mkeo anakusumbua kukuombaomba pesa nawe huna au hutaki kumpa tafadhali sana nitumie namba yake PM mambo ni kusaidiana.
 
Back
Top Bottom