Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Ngoja nisome comments zote maana hzi ID tunaweza fumuana marinda Bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mambo yako shem hayoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nisome comments zote maana hzi ID tunaweza fumuana marinda Bure
Bwana leo nikasema nmkumbuke ex Wang maana toto ni nzuri a.k.a la kwenda, basi nikachati nalo uko Facebook kwasabab namba yake nimefuta (namuheshimu ninae ishi nae,sijaoa), kweli bwana nafungua tu Facebook mtandao wake pendwa nikamkuta online tutakaanza kuchat.
Mwsho wa kuchat ukawa kama hvo Chin
nmemkumbukaWewe una matatizo makubwa kuliko yeye.
1.Umefuta namba yake.
2.Umemfuata fb, why? Ur weak.
3.Unamtukania nini sasa?
Mzee umetema yai kama una udugu na marehemu malkia elizaberth
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakin isiwe tabiaKuna mtu alikuwa hivyoo nashida sana nikamwambia B na njaa sana akadai njoo nikulale ili nikupe hela nikasema poa naja , naalikuwa boy wangu Hana hata haya ila kwasababu aliniona taka taka nikasema ngoja nimkomeshe nikapitia Kwa rafiki yangu anikopeshe pesa ili niende hospitali just imagine unaumwa mtu wako anadai akulale Kwanza ndio akupe hitaji la moyo .,
Basi bwana Ile nimefikia maeneo ya kaloleni road Fulani gari ikatoa mwanga wawaah ni mkaka mwingine na demu wake wananiita nikasema what kumbe ni best yangu wazamani huyo bro tulisoma wote Moshi weh , nilifurahi basi akampeleka huyu mwanadada kwake wakaagana huwezi amini nilipata pesa siku hiyo nzuri tu na sio yeye kanipa pekee alinipeleka Kwa wenzake na wakanichangia na nikawa nahudhuria hospitali for check up hadi zile sehemu zikapona , na nilikipatia good friends na wanajali naninawajali , .
Wanaume wenye roho Mbaya acheni chakula kwani sh. Ngapi?? Mie mtu akinifuata ananjaa na ninaela namnunulia .
Sio lazima umdharau mtu kwakumlala na kumkomoa basi .
Tabia kivipi?? Nahuku mie mtu akiwa na shida namsaidiaLakin isiwe tabia
Ndo kila sku mtu akikutumia tu meseji bye iwe njaa inaumaTabia kivipi?? Nahuku mie mtu akiwa na shida namsaidia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
nmemkumbuka
Huyu ex wangu kabisa. Wakati wengine wakikutana na ma ex zao wanapasha viporo lakini kwangu imekuwa tofauti kabisa mizinga kila leo!Mi Kuna demu uwa ananiomba Hela kama ananidai[emoji3][emoji3]na meseji za njaa mara Kwa mara kama mimi ndo babake
Kwa kweli amekuweza matako yako and ur broken english. Kama unaishi na mtu kilikupeleka nini kwenda kumchombeza huyo dada? Na nyie wanaume jiheshimuni. It’s that simple
sasa ni ngumu kutambua muda wa ishu serious, kwasababu mizinga ni mingi tunaona kama tunachunwa.....Kuna mtu alikuwa hivyoo nashida sana nikamwambia B na njaa sana akadai njoo nikulale ili nikupe hela nikasema poa naja , naalikuwa boy wangu Hana hata haya ila kwasababu aliniona taka taka nikasema ngoja nimkomeshe nikapitia Kwa rafiki yangu anikopeshe pesa ili niende hospitali just imagine unaumwa mtu wako anadai akulale Kwanza ndio akupe hitaji la moyo .,
Basi bwana Ile nimefikia maeneo ya kaloleni road Fulani gari ikatoa mwanga wawaah ni mkaka mwingine na demu wake wananiita nikasema what kumbe ni best yangu wazamani huyo bro tulisoma wote Moshi weh , nilifurahi basi akampeleka huyu mwanadada kwake wakaagana huwezi amini nilipata pesa siku hiyo nzuri tu na sio yeye kanipa pekee alinipeleka Kwa wenzake na wakanichangia na nikawa nahudhuria hospitali for check up hadi zile sehemu zikapona , na nilikipatia good friends na wanajali naninawajali , .
Wanaume wenye roho Mbaya acheni chakula kwani sh. Ngapi?? Mie mtu akinifuata ananjaa na ninaela namnunulia .
Sio lazima umdharau mtu kwakumlala na kumkomoa basi .
Kwahyo ex atafutwasa kilichokufanya umtafute nini🙄🙄, ila watu wengine hovyooo😏😏😏