Wanawake akili zao wanazijua wenyewe

Daah rafiki wa nyoka ni nyoka usiunde urafiki naye utageuka nyoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mithali 11:22

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeulizwa Wewe Ni Bikira Mbona Unaruka-ruka Jibu Kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishawah pata kesi frani ivi kuna kipindi nilipitia kipindi kigumu nikampa binti mimba najua kabisa yangu coz nilikuwa naishi nae kabisa alivyoshika mimba akanitext kweny simu kuwa siwezi lea mimba kwaiyo tuachane sikumjibu..akaenda kumpa mtu jamaa kawa mjanja anataka kupima DNA izi tarifa nilipata kwa rafik yake kurud kwangu anatamani arafu n mm nishafunga vioo.
Ila mtu ukiwa n ela napo kupewa au kulea mimba sio yako n mkubwa usikubali tu..Kama unawasiwasi.
 
Huyo story yako hana tofaut na yang sema me alitoa mimba na mpaka leo ananijutia kunipoteza.... [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…