Wanawake akili zao wanazijua wenyewe

Wanawake akili zao wanazijua wenyewe

Wanawake ukifikiria unashindwa kuelewa hawa watu akili zao zinafanyaje kazi, zinazunguka ant-clockwise ama nini?

Nilikua na mpenzi wangu, akawa ananichukulia poa, nikajua huyo ana mwanaume mwingine anaempa kiburi tu, sikujali sana, kapigwa mimba huko na mshikaji kakataa mimba, nashangaa akaanza kunitafta na kuniomba nimsamehe, nikashangaa, nikauliza imekuaje ikabidi aniambie ukweli, akawa analazimisha tuonane tuongee, nikaona isiwe shida, nikamkubalia, nikamsikiliza, kisha kwa hasira nikamtafuna, kesho yake nikaweka picha ya mpenzi wangu mpya kwenye whatsapp, ndugu yake ananipigia simu eti amezimia, nimsaidie mimba isije kutoka, nikamuuliza ndugu yake kwani hiyo mimba ni yangu? Wao wananiomba niwe nae karibu kumfariji maana mwenye mimba hapatikani wala hajulikani alipo.

Najiuliza hivi wanawake akili zao zinafikiriaje? Alipokua ananichukulia poa alijua siwezi kupata mwanamke mwingine?? Watu wengine wapumbavu sana.
Daah rafiki wa nyoka ni nyoka usiunde urafiki naye utageuka nyoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake akili zao cjui zpoje....kuna dem nlkuwaga nae...alikuwa ananchukulia poa balaa..!!ndugu zake pia nkiongea nao dharau kbao..

Nikaamua kujitoa...nkatafta maisha maana walileta dharau kwakuw ndo nlkuwa nmemaliza chuo na ajira sina

Juzi ndugu yake alipita maeneo nnayofanyia biashara alishangaa kuona biashara imekuwa kubwa mno

Na yule dem nae ameanza kutuma meseji...!!

Yan watu kama hawa hutakiw hata kuonana nao....acha past iwe past

Sent using Jamii Forums mobile app
Mithali 11:22

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeulizwa Wewe Ni Bikira Mbona Unaruka-ruka Jibu Kwanza.
Mungu nitetee haya mabalaa yanipite mbali huko, binafsi naamini katika uaminifu pindi mkiwa wapenzi, mimi hapa Aidanna huwa siwezi kuweka pochi manyoya yangu rehani hivyo hadi mimba kweli yani siwezi.

Tena kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja ndy siwezi kabisa maana nitamwambia tu ninayedate naye.

Nimejifunza kuridhika sana na ndy maana naadhi ya watu hawanielewagi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishawah pata kesi frani ivi kuna kipindi nilipitia kipindi kigumu nikampa binti mimba najua kabisa yangu coz nilikuwa naishi nae kabisa alivyoshika mimba akanitext kweny simu kuwa siwezi lea mimba kwaiyo tuachane sikumjibu..akaenda kumpa mtu jamaa kawa mjanja anataka kupima DNA izi tarifa nilipata kwa rafik yake kurud kwangu anatamani arafu n mm nishafunga vioo.
Ila mtu ukiwa n ela napo kupewa au kulea mimba sio yako n mkubwa usikubali tu..Kama unawasiwasi.
 
Huyo story yako hana tofaut na yang sema me alitoa mimba na mpaka leo ananijutia kunipoteza.... [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom