Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wakati naanza chuo mwaka wa kwanza nilikua nakaa hostel, sasa kuna jamaa flani alikua yeye mwaka wa tatu tulizoeana kama brother na alikua ameoa kabisa huko kwao pale alikua anajiendleza tu kielimu, sasa Mimi mwaka wa pili nilitaka kuondoka hostel nihamie mtaani nkamwambia yule bwana mkubwa kua anitafutie room huko mtaani maana ye alipanga, akanambia "mdogo wangu usijali Mimi naondoka nitakuunganisha na Landlord wangu pale ninapokaa uhamie wewe halafu ukitaka na vyombo nitakuuzia vyangu coz siondoki navyo" akanambia siku Fanya uje uvicheki ucheki na chumba ukiridhika tufanye biashara.

kweli weekend moja nikampigia simu nakuja akanambia poa utanikuta sehemu flani, nimeenda nkamkuta sisi hao hadi kwake, kufika nikacheki room ipo fresh na vtu vipo fresh tu nikamuuliza sh. Ngapi sasa akaanza ooh vile ni wewe mi nitakupa tu bure nikamuliza kwa nini unipe bure akaniambia naomba unifanyie kitu kimoja, kitu gani? Mara akasogea nakuanza kunishika shika ndevu, kifua, Mara kagusa mkuyenge.

Aiseeee nilimdaka kabali moja hatari nkampiga kichwa cha pua damu zikawa zimenirukia kwenye Shati langu jeupe nikaondoka kurud hostel nimefika washikaji wananiuliza Shati vipi nkawapa mkasa ndio wakaniambia yule mbona shoga!

Nilifadhaika sanaaa nilitamani nirud nikamkate tena mitama
 
Mimi yalinikuta Lushoto Tanga nilikuwa napiga tempo kwenye English medium moja hivi. Baada ya mwezi mmoja hivi kuna mwalimu mwingine wa huko aliletwa pia kupiga tempo pia na ni mwenyeji wa huko. Kwa jinsi nilivyokuwa namuona anaonesha tabia za kike kike lakini sikumtilia shaka kuwa ni shoga na tulipokuwa tunapiga story na washikaji kuhusu mademu yeye alikuwa hachangii kabisa. Basi bana katika kundi la maticha wa kiume akanichagua mimi bhana akawa ananipa appointments mara twende town kula nyama nikawa nakosa muda. Siku moja ndo akaniganda sana eti twende kwangu akapaone nikasema poa. Kwangu sikuwa na viti wala sofa hivyo tulikaa kitandani,akawa anajilaza anajibinua binua akili ndo ikanijia nikasema tobaa! Jamaa ni gay,niliishiwa nguvu.Kijana alikuwa msafi anavaa vizuri kumbe ni shoga? Sikutaka kumkera kilichoniokoa ni madam mmoja jirani kuniita nikamwambia ni demu wangu anataka kuingia ndani hivyo inabidi jamaa anipishe. Jamaaa ndo akaondoka kinyonge. Tangu siku hiyo nikakata mazoea nae na nikapeleleza nikathabishiwa kuwa jamaa ndo hivyo bhna. Niliwatonya washikaji kuwa kuweni makini na huyo jamaa cha kushangaza kwenye hao maticha wenzangu kuna mpemba mmoja bhana si akawa anajuta eti kwa nini hiyo bahati isingemwangukia yeye. Yaani huyo mpemba akawa anatamani jamaa amwendee ili ampasue.

Kule Tanga pia hivi vitendo vipo sana hadi wanafunzi wa shule za msingi walikuwa wanapigana mashine wenyewe kwa wenyewe. Kwenye hiyo shule nilikuta kama kesi tatu hivi za wanafunzi kupigwa miti na kwa kupenda wao. Yaani hao wanafunzi wanalazimisha wanafunzi wenzao wawapige,mwingine alikuwa akipigwa na shamba boy wao kabisa kwahiyo alikuwa ameshazoea na hakuna hatua zilizokuwa zikichukuliwa dhidi yao.
 
Hata pale Matema/C Park kinondoni B kuna wasagaji.
Nakumbuka nilikuwa nainuka kwenda msalani, ghafla mdada kavaa dera ananifuata nyuma.
Kufika msalani nae kasimama kwenye sinki nje....nilivyotoka akaanza kunitongoza kabisa.
Na aka-offer kuwa nikiondoka nae atanipa laki.
Nikajisemea laki kwa mtu asie na uume, haina hasara....
Mwisho....ila laki yake nilichukua.
hahaha kwahiyo ulisagwa ha ha ha
 
Afu baadhi ya Watanzania ni watu wa ajabu sana, hivi kuna la ajabu katika suala la mwanamke kuliwa mata.ko?
Ni sunna kama ilivyo kwenda chumvini.
Tena ukikutana na mwanaume anayejua anachofanya, very fantastic.
Na kama hataingiza nyuma...nitamruhusu aingize kidole.
Hakuna la ajabu.
Wengi sana wanafanyiwa huu mchezo, ila ukikutana nae katikati ya mada, atajifanya mlokole....hanyonywi kisimmi wala kufirw.a
Mscheeeeeeeeeeeeewwwwwwwww!!!!!!!!

Nimekuquote wewe ila ujumbe umeenda kwa wengine.
Mchana mwema.
Feel guilty? ? Ubaya upo ndiyo. Ufiraji /ufirwaji hakitakaa kuwa kitendo cha kiMungu hata siku moja,unhumanity! Mbwa mwenyewe hakosei !
 
Afu baadhi ya Watanzania ni watu wa ajabu sana, hivi kuna la ajabu katika suala la mwanamke kuliwa mata.ko?
Ni sunna kama ilivyo kwenda chumvini.
Tena ukikutana na mwanaume anayejua anachofanya, very fantastic.
Na kama hataingiza nyuma...nitamruhusu aingize kidole.
Hakuna la ajabu.
Wengi sana wanafanyiwa huu mchezo, ila ukikutana nae katikati ya mada, atajifanya mlokole....hanyonywi kisimmi wala kufirw.a
Mscheeeeeeeeeeeeewwwwwwwww!!!!!!!!

Nimekuquote wewe ila ujumbe umeenda kwa wengine.
Mchana mwema.
Hakuna dini inaruhusu hilo, ukifanya jua unamtukuza shetani
 
Kwahiyo jicho uliliona?

Hapakuwa na Foreplay?

Siku nyingine usipende kudanganya watu wengi hivi
Sikuanza hata kufanya lolote, baada ya kugundua jamaa ni shoga akili yangu ikatafsiri lzm atakuwa ni dhaif na kipindi kile sina kazi ya uhakika na muda mwingi nautumia kwenye local gym ilikua lazm kuichukua ile pesa hata kwa kumkaba km asingekubal kunipa kabla ya tendo. We unafkir boxing day ingekuaje wakati sjui nlikua na buku 2 kwa ajili ya viroba hata 6 tu.
 
Hata pale Matema/C Park kinondoni B kuna wasagaji.
Nakumbuka nilikuwa nainuka kwenda msalani, ghafla mdada kavaa dera ananifuata nyuma.
Kufika msalani nae kasimama kwenye sinki nje....nilivyotoka akaanza kunitongoza kabisa.
Na aka-offer kuwa nikiondoka nae atanipa laki.
Nikajisemea laki kwa mtu asie na uume, haina hasara....
Mwisho....ila laki yake nilichukua.
Sasa mwanamke ana msagaje mwanaume au ndo unatiwa vidole vya mk**u?
 
Kipindi nipo shule (form 2) niliwahi tongozwa na ki form 2 chenzangu (ke) kwa vitendo.
Mwanzoni tulikuwa marafiki wa karibu sana, kula pamoja, kusoma pamoja hata kufua pamoja, tulikuwa tukikaa hostel 1, na alikuwa ana mazoea ya kuja kulala kitandani kwangu madai yake anaogopa kulala peke yake.

Mara ghafla hiyo siku usiku naanza kupapaswa, aisee nilishtuka nkamuuliza vipi? Akabaki ananiangalia kwa jicho legelege, nikaona huu upuuzi. Ilikuwa saa 4 usiku ikabidi nijibebeshe daftari niende class nimuachie kitanda.
Hadi kuhitimu shule urafiki ushazikwa kitambo.
 
Hata pale Matema/C Park kinondoni B kuna wasagaji.
Nakumbuka nilikuwa nainuka kwenda msalani, ghafla mdada kavaa dera ananifuata nyuma.
Kufika msalani nae kasimama kwenye sinki nje....nilivyotoka akaanza kunitongoza kabisa.
Na aka-offer kuwa nikiondoka nae atanipa laki.
Nikajisemea laki kwa mtu asie na uume, haina hasara....
Mwisho....ila laki yake nilichukua.
shougaaa sasa ulikufanyaje hhahahahah
 
Back
Top Bottom