Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Nakumbuka christmass 2006 nikiwa natokea mitaa ya kujinafasi nipo njian nikakutana na jamaa mmoja barabarani na tukasalimiana fresh tu,tukawa tunaongozana uelekeo mmoja.
Baada ya mwendo wa dakika km 3 akaanza kuniambia nimsaidie kupiga mzigo atanipa 20000! Kwa kohoro changu nikawa namhoji mzigo gani!? Akawa ananizungusha kuniambia, yeye anang'ang'ania mm nipige mzigo atanipa hiyo pesa maana nlikua napiga hesabu za kupiga hata mzinga wa konyagi,nyama kilo na bia 7 kesho yake kwa hiyo pesa maana ilikua inatosha kabisa nikakubali, ndipo akafunguka nikamfire kichakan. Nilimwelekeza sehemu maana nilikua nipo jiran na hom hivyo n mwenyeji hapo, kabla ya kufanya yetu nikaomba hiyo pesa kwanza na akanipa! Ile kuvua suruali na boxer yake na kuinama tu nilopiga teke moja la kushindilia likamfanya aangukie uso mimi nikatoka nduki kama nilivokimbizwaga na mbwa miaka miwili kabla ambapo mbwa wenyewe walihisi mm n Seleman Nyambui. nafkir yy aliona zile mbio n risasi.
Kwahiyo jicho uliliona?

Hapakuwa na Foreplay?

Siku nyingine usipende kudanganya watu wengi hivi
 
Me nshamnyandua shoga mmoja nilitumia kinga lakni.ukimuona.huwezi.jua.kua.ni
Shoga.anavaa
Vizuri.tu
Tena
Kihiphop
Mwenyewe.nlikua
Sijui.wala kuhisi.kuwa ni.gay.one.day
Kanialika
Kwake.magetoni.vituko.alivyonifanyia.vilinconvice nimnyoose.malinda.yake
 
Me nshamnyandua shoga mmoja nilitumia kinga lakni.ukimuona.huwezi.jua.kua.ni
Shoga.anavaa
Vizuri.tu
Tena
Kihiphop
Mwenyewe.nlikua
Sijui.wala kuhisi.kuwa ni.gay.one.day
Kanialika
Kwake.magetoni.vituko.alivyonifanyia.vilinconvice nimnyoose.malinda.yake
Teh teh...


Lengo la kusema ulitumia kinga ni nini? "(Nilitumia Kinga lakini) "

Kwamba unataka kusema kuwa kifir*o kilikuwa sio halisi ni cha juu juu tu???

Ndivyo unavyotaka kujengea watu hizo fikra???

Anyway, thanks for being honest.........
 
hahahaaa umenikumbusha jamaa yangu alikuwa na kapikipiki kake akitoke kati ya mji, akaona sio kesi ngoja apitie pale kwa macheni, alipofika pale akaagiza bia zake mbili, akazikata fasta, ghafla akaja muhudumu na bia mbili zingine, akamwambia jamaa yako amekuagizia, mwana bila kujiuliza akapiga, ataka kumaliza, zikaja tena mbili, mmh, jamaa akauliza ni nani anakutuma akaambiwa jamaa yule pale, kidogo ukaja mchemsho, jamaa kichwa ikaanza kuchaji, akaona hapa lazma nimuone anayeniagizia, wakati anamaliza mchemsho sasa ndio likaja pandikizi la dume, na yeye ndio anainuka, kwanza akashikwa tako, dah jamaa akahamaki, akaambiwa tulia kijana, mambo madogo tu haya, usijali utazoea unaonekana we ni mpya mambo haya bado huna uzoefu nayo, usijali hata wenzako walikuwa wakali kama wewe, akashikwa tena tako, janaa ilimchomoka ngumi moja matata sana, yule bazazi chali, damu kibao, cha ajabu alipoinuka akamuagizia aletewe bia tatu, kwani kijana anaonekana sildi, mshikaji alivyosikia hivyo akaanza kukimbia huku akipiga kelele, na pikipiki akaisahau, alipofika maskani ndio akaja kuomba msaada turudi nae afuate pikipiki...
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ***** watu laaana
 
Back
Top Bottom