Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Nimecheka sanaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nahisi ni muda mrefu humu ...ila zaman ndio ulikuwepo kwa sana...kuna muda ukaptea fulani hutupii comment sana..msimu huu upo tena sana
Mkuu si unajua kuna wakati inabidi uendane na mazingira.
Ila nipo tu.
Tuko pamoja
 
Wakuu mim nauliza tu...kwan ile kanuni ya ukiona unaitiwa kwenye fursa ujue wewe ndio fursa yenyewe kwenye uzi huu kwani haiusiki.?
Nikiwa na maana shoga akitaka ukamnanii isiwe wewe ndo unataka kwenda kunaniliwa...?

Maana inaogopesha aisee...


Am out!
 
Siku moja nilikuwa nafanya mazoezi nikakutana na jamaa mmoja nae alikuwa anafanya mazoezi,badae tukafika sehem kama jamaa tu wa kawaida,tukawa tunabadilishana mawazo,ila kiukweli jamaa alinishawishi vp mpaka nikajikuta sikimbii tena na kuanza kupiga Stori ndo sikuelewa,Ila badae kadri tulivyokuwa tunatembea,jamaa akawa anazidi kunisogelea na badae alikuja akaanza kunigusa sehem mkunyenge upo,badae ikabidi afunguke kuwa anataka nikamkune,nikamwambia mi siwezi na hata kama tukienda, mkunyenge hautasimama kbs utagoma katu katu,nikamuaga kistaarabu nikaendelea na jogging yangu,Ila nilihisi kabisa jamaa ame spoil siku yangu
Mkasa mwingine nilipataga demu mmoja hv wa kihindi kwenye magazet ya advertising dar,anaitwa Mehjabin,sasa kumbe ye lengo lake alikuwa anamtafutia uncle wake mtu wa kumkuna,alikuwa shoga,basi akawa ananiambia kuwa uncle wake Yuko poa na ana kila kitu Ila anataka mtu wa kumkuna kwa kipindi cha miezi miwili atakapokuwa hapa bongo, nikamwambia sifanyagi ujinga huo,hyo ndio mikasa miwili ya mashoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hyo shule siyo WALI UR ASR (WIPAZ) KIBAHA maana kwa seminary za pwani hyo shule ndiyo huwa ina skendo hizo
 
Kwamba tunatamani wanawake wenzetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo pana elimu kubwa in vigumu kuelezea ila Kwa ufupi ujajua kwanini wanawake uwasifia watoto wa kiume kuwa wazuri Kwa kuwa sura zao zinafanana na zakike kike hii inadhibitisha kuwa ni rahisi mwanamke kuvutiwa na sura nzuri ya mwanamke mwenzake.mfano unaye rafiki wa kike mwezako na nimzuri sana ni rahisi kumtamani au kutamaniana
the way she talk
the way she look
the way she love


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile safari ya dodoma vipi white ulipona kweli....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…