Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

ni site iyo Google uone maajabu hutoamin kama ni tanzania
Uchafu wa kila Aina wengine watu wazima Sana

Hili swala linafaa lifanyiwe utaratibu serikali badala ya kupambana kuizuia Twitter isipatikane ni Bora wangepambana na uhafidhina huu waukomeshe
 
ni site iyo Google uone maajabu hutoamin kama ni tanzania
Uchafu wa kila Aina wengine watu wazima Sana

Hili swala linafaa lifanyiwe utaratibu serikali badala ya kupambana kuizuia Twitter isipatikane ni Bora wangepambana na uhafidhina huu waukomeshe
 
Uchafu wa kila Aina wengine watu wazima Sana

Hili swala linafaa lifanyiwe utaratibu serikali badala ya kupambana kuizuia Twitter isipatikane ni Bora wangepambana na uhafidhina huu waukomeshe
ndo hivyo sirini kuna mambo mengi yanaendelea na wanaoyafanya huwezi kuwadhania kuna mtu mmoja maarufu sana ni shoga ni aina ya watu kila mzazi anatamani kijana wake awe kama yeye au kila mzazi anatamani binti yake aolewe naye ila shoga na huwezi hisi au kuamini nachekaga sana
 
Dokeza kidogo hapo

Isije ikafika time ndugu yangu anaolewa na huyo mtu
 
katka zote apo kwa project asee kama n kweli basi wanaume tunakazi sana ya kuombea vizaz vyetu
 
Siku hizi hii mitandao haitumiki post ya mwisho 2018 hko wadau watakua wameacha ufedhuri
TNG(Tanzania Network of Gay) nilikutana nao bahati mbaya nikikosea spellings katika kusearch nikajikuta uko inasikitisha sana
 
Nipe huo mtandao pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…