Mashoga si watu kabsa,niliwahi kukutana na wa3 m1 fb 2012 mwingine baa pale shugarey sokota na mwingine KKoo,wacha nielezee wa kkoo.
Huyu jamaa alikua mwepesi sana wa kuzoea watu,ilikua 2014 alikua dukani mimi na jamaa angu tulisimama nje akaja akasalimia na utani juu dk 0 mara tumecheka na mazoea yakaanza. Akamwambia jamaa nimeipenda jinsi yako akasema kaleteqa na bos toka China. Shoga akaanza kuadisia kule Canada zinauzwa bei flan lakini ni OG. Akachomekea lakini Wamasai ndio huvaa jinsi sababu wanamitarimbo mikubwa je nyie ni wamasai? Jamaa akajibu hapana mimi ni msambaa,mi nikala gunzi,shoga akajichekesha akasema anavyojua wasambaa wakitahiriwa wanaachiwa kingozi kidogo chini je yeye anacho? Jamaa akachek kiutani bas mada ikaisha.
Akasema basi yeye ni mtu wa watu na anapenda kucheka na kila mtu sio vibaya kama tutabadilishana namba za simu. Akachukua simu zetu na kujibip mwenyew. SIKU YA KWANZA IKAISHA
BAADA YA SIKU 3 nikakutana nae nikiwa nimebeba mzigo kwenye mikono yote akanishika kwenye uume na kutania "mbona unaogopa wewe vitu vya kawaida" nikajib sijazoea ndo mana bas akaondoka akadai ana haraka. Lakini siku hiyo nilihisi jamaa si wa kawaida.
ZIKAPITA KAMA SIKU 2 akanipigia simu usiku saa 5,asee hawa watu tuwaombee sana,yan swaga zake kama za kike,anauliza
Shoga: ushalala saiv?
Mimi: nikajib ndio
Shoga: mbona mapema
mimi: kawaida yangu
shoga: umelalaje?
mimi: tutaongea kesho nimechoka
shoga: mh! Umevaa nguo au boxer tu
mimi: joto hili huwez lala na manguo
Shoga: karibu tutale bas
nikamkatia simu. Akapiga sikupokea.
Kesho yake akapiga muda ule ule ananikaribisha nikalale naye lakini nisimguse kitobo chake, asee hapo ndio nikajua jamaa si riziki. Nikafikisha stori kwa jamaa angu nae alikua anachat nae ba kupiga simu usiku,alisumbua sana. Ni stori ndefu kidogo. Ila nilikuja kumblock na miadi yake kibao sababu kimaisha yuko powa,alikua na frem kkoo.