Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Story ya huyu jamaa niliwahi kuambiwa na mshikaj wangu mmoja mlinzi ktk hotel moja pale mwenge aisee sikuamini kama ni kweli ila nimeona hapa inabid niamini maana jamaa pia ni kama usoni ana jipaka mkorogo.

Huyo mlinzi alipita naye nn[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo mlinzi alipita naye nn[emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka walinzi wammahotel makubwa haya wana jua mengii balaa yaannstory za mastaa wanao tenguana hovyo hovyo jamaa wana jua sanaa si wana waona wanavyo ingia
 
Hata pale Matema/C Park kinondoni B kuna wasagaji.
Nakumbuka nilikuwa nainuka kwenda msalani, ghafla mdada kavaa dera ananifuata nyuma.
Kufika msalani nae kasimama kwenye sinki nje....nilivyotoka akaanza kunitongoza kabisa.
Na aka-offer kuwa nikiondoka nae atanipa laki.
Nikajisemea laki kwa mtu asie na uume, haina hasara....
Mwisho....ila laki yake nilichukua.
Kwa hiyo alienda kukusaga
 
Halooo shetty Mwaka huu ana wafuasi wengi, bora shoga angu tukachomwe moto wote, maisha yenyewe mafupi, raha jipe mwenyew, nimekupenda bure madam B[emoji23][emoji23]
Hahahaha
Chezea dhambi za jumla wewe.
Maisha mafupi ya kukera binamu
 
Nyie warumi ni mwanamke sema ni wale madada du wa mjini bongo daslam[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Kuna mtangazaji mmoja wa televisheni, almaarufu sana, yule kijana ndio mambo zake kusumbua sumbua wakulungwa wampakue...

Kuna wakati alikuwa akitumika kwa mzee Machache, baadaye Tibisiii, sijui kwa sasa yupo bado Tibisiii au alisepa kituo kingine...
kinyai...a nini?
 
Ahahah kupumua huko kwio , hata nguruwe anapumua, awe na hela tu na asiwe na mdomo kama wanaume wq jf , Yan wanaume wa JF wana midomo utadhan wanawake mxieew halafu hela hawana wananuka tu pumb
Wewe si mwanamke?
 
Halooo shetty Mwaka huu ana wafuasi wengi, bora shoga angu tukachomwe moto wote, maisha yenyewe mafupi, raha jipe mwenyew, nimekupenda bure madam B[emoji23][emoji23]
Kumbe unajua kuna Moto ukiwa mfirwaji?
 
Mwanaume kbs unamruhusu another man on ur back penetrate his d***k!
Tumeisha Jah bless us[emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29]
For sure wanaume ndio mnaisha sasa
 
Nyie warumi ni mwanamke sema ni wale madada du wa mjini bongo daslam[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]

Jaman [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom