warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Mie nimeishia Zenji.
Umati mkubwa aisee.
Ukienda msalimir Seba wangu jamani....
Shost mwenzio niko kikaz Hayo mambo ya umati watajijua, mie naenda zangu kudanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nimeishia Zenji.
Umati mkubwa aisee.
Ukienda msalimir Seba wangu jamani....
Nimewahi kutana na Mwanamke flani wakati niko chuo mwaka 2012 alikua na uchi kama kawaida ila juu ana uume flan mfupi ..she was a lecturer katika chuo flani sitoweza kukitaja..she was amazing and good enough in bed..thought hatukufikia malengo because nilikua tayari na mtu wa ndoto zangu ambae ndio mke wangu sasa.Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,Kila siku tunasoma tu kwenye mitandao mambo ya usagaji na Ushoga katika kila jamii. Nina imani kama hali hii ipo lazima yamemkuta mwenzetu humu mmu labda kwa kutokewa au kuwa na uhusiano wa hali hiyo.
Kwa yeyote aliyewahi aje atupe ilivyokuwa alipotokewa kwa mara ya kwanza na kama alikubali au alikataa alikurana na changamoto zipi. Nianze na mimi mwenyewe nimewhi kusumbuliwa na boss wangu mmoja wa kiume kule mombasa nilikuwa kuwa field attachment, by then yule jamaa alikuwa front office manager, mtu wa mtaa mmoja unaitwa kibokoni, kwa wasafiri wengi wa mji wa mombasa huu ni mtaa wa mashoga wengi, nilipata wakati mgumu mpaka nikawa namkwepa mwisho nikaacha field attachment kwa sababu tofauti.
Alikuwa hana aibu nakumbuka kabla sijamjua tulienda wote nje usiku mmoja kula nyama choma na kuongea mawili matatu, wote tulikuwa hatunywi pombe lakini huyu jamaa alikuwa ameniambia atachelewa kwenda mjini ambapo ni kwake kwa hyo tukatoka na kwenda kupata nyama choma, nilikuwa na muhisi ana mwagiwa maji nikasema acha nijionee, kwa usiku ule akishindwa kunitamkia live lakini alikuwa anajilegeza.Nakumbuka nilimuuliza ulisema unataka tuongee usiku unazidi vipi?
Alinijibu vitu tofauti mwisho nika jiongeza na kumuuliza kwa kiingereza "Abdio samahani kama nitakukera naomba nikuulize kitu.. Akanijibu bila smahani kede,uliza tu.Nikamuuliza are you gay? Hakunijibu aliitikia kwa kichwa kama mtoto wa chekechea,nikajiskia vibaya sana.
Akafunguka mengi sana akaniambia niwe na siri na kadhalika nikamjibu kuwa nitampa jibu,kipindi hicho simu za mkononi kama zilikuwepo mimi sikuwa nayo it was in 1997/98.Usumbufu ulikuwa ule wa live.Huyu jamaa alikuwa shoga.
Bwana Abdio nakukumbuka sana sijui kama uko hai. Samahani mimi sio mwandishi mzuri.
Nimewahi kutana na Mwanamke flani wakati niko chuo mwaka 2012 alikua na uchi kama kawaida ila juu ana uume flan mfupi ..she was a lecturer katika chuo flani sitoweza kukitaja..she was amazing and good enough in bed..thought hatukufikia malengo because nilikua tayari na mtu wa ndoto zangu ambae ndio mke wangu sasa.
Haya bhana.Shost mwenzio niko kikaz Hayo mambo ya umati watajijua, mie naenda zangu kudanga
Haya bhana.
Usisahau Kondom
Sawa shogaShoga angu niko na silaha zote za kazi hapa , wee Niko Makini
some mamoneykinyai...a nini?
daaaah hapa naona wote ni kama baba anamhadithia mtoto maisha yake shule.......acheni hyo....Hahahaha ina maana wote mliruka viunzi vya hao mashoga ndo uzuri wa JF na mashoga wenyewe wanachangia mada et na wao walitegua mitego ya mashoga
Sam m.i..ago au...?some mamoney
Naona umesomaa kuanziaa mwanzo had thead ya mwisho ukaona utoe ya moyonii...tunaosoma comment plss tujuanePeople are funny , ukitaka kujua watu wanapenda huu ufirauni angalia thread iko page ya ngapi, yani hivi vitu ndo watu wanapenda, watu wanajufanya kuponda na kutukana kumbe ndo mambo wanayoyapenda, mxieew unafiki tu kila mtu afanye mambo yake , sasa kama nikitoa makalio yangu we inakuuma nini na wewe c una yako c utoe kama unaona wivu
Real gentlemen they don’t have time to discuss such issues , wako busy kutafuta pesa, hawa wanawake wenzetu sasa wako busy kunyanyua midomo juu juu na matusi kibao, hawana lolote zaidi ya kunuka mapum.. , ebu watuondolee nuksi hapa
Naona umesomaa kuanziaa mwanzo had thead ya mwisho ukaona utoe ya moyonii...tunaosoma comment plss tujuane
Binamu hivi twinda ni nani maana naskia alifunga busta sinza yoote nilikutana na Dada wa mjini juzi ht hakuniambia vzr nkasema ntakuuliza wewe!Wanaume ni wale wanaotoa hela hawana time na kufuatilia mambo ya watu na wanajua kazi kitandani, hawa tunaochambana nao humu ni wanawake wenzetu tu hawana lolote mxieew
Binamu hivi twinda ni nani maana naskia alifunga busta sinza yoote nilikutana na Dada wa mjini juzi ht hakuniambia vzr nkasema ntakuuliza wewe!
Kwanza kabisa niwaambie kitu wabongo tuache unafiki....asilimia kubwa ya watu humu waliochangia wanadai kuwa wao ndo wametongozwa sio kutongoza hao wajinsia sawa na wao,wamedai pia wamewatolea nje hao mashoga...
Ipo hivi,nimewahi kufanya utafiti au kutaka kujua huko kwenye mapenzi ya jinsia moja hasa kuna nini? .Basi nikaanza harakati hizo kuingia katika mitandao yao(siwezi kuitaja hapa) nilichogundua ni kama ifuatavyo;-
Moja,kuna watu wengi sana vijana kwa watu wazima wamo katika hii michezo ambao ukitajiwa utabaki mdomo wazi ila kimsingi wapo wengi sana,
Mbili,sio mashoga wote wapo kama wanawake kuna watu ambao yupo kiume sana yaani mshikaji zaidi lakini ni shoga tena anapigwa sana yaani kama mwanamke,
Tatu,Kuna watu wazima wenyepesa zao unaweza kukuta hata humu wapo wanawashawishi vijana wakiume kuwa nao katika hayo mapenzi iwe kwa wao kuombwa kufanywa au kuwafanya mwisho wa siku hao vijana wanasambaza kwa wengine.
Nne,mitandao ya kijamii hasa fb na Instagram kimekuwa kichocheo kikubwa kwa watu kutongozana na urahisi kwa watu kufanya hivi vitendo.
Tano,ni watu wenye Siri kubwa sana katika hizo tabia kiasi kwamba huwezi kugundua kuwa wamo ila kiukweli kuna tatizo
Sita,kingine nilichokuja kugundua ni kwamba ni kitu ambacho kina nguvu sana kiasi kwamba ukishajiingiza kutoka sio rahisi maana kuna wengine wameingizwa na watu au walifata mkumbo au vyovyote vile ila wanataabika sana kutoka hasa vijana akifikia muda sasa wa kutaka kusettle na kuwa na familia wanashindwa na kuhisi kwamba watajulikana...
Kuna Mengi sana ambayo jamii haijui kuhusiana na hayo mambo ya LGBTQ,hivyo kujudge juu juu hatuwezi kupata solution ya maana...
USHAURI
Hasa kwa wazazi tuwe karibu sana na vijana wetu wakiume kwa ukaribu sana hii itakusaidia kumgundua mapema kama ameanza hizo tabia kwa sababu kuna viashiria vya mapema japo wengine wanafanya kwa Siri kubwa sana kama huna uelewa na hayo mambo huwezi kungundua
Kuna Hamu Money's na Iddy Kikanga! Aliyepo tibisii ni Hamu Money's na Iddy Kikanga juzi kati walitifuana na Msemaji wa [emoji881] club! Kumbe semaji wa [emoji881] club nae mchele mchele
Eti wanasema wewe ni shoga ni kweli[emoji23][emoji23][emoji23]Imagine sikuwah kumjua kihivyo ila ni dada tu wa mjini, na alikua Peace sana anaonekana, maaa mastaa wengi sana walimpost na Sijui alikufa na nini , nitafuatilia nikupe taarifa binamu , ila alikua ladies n gentlemen
Codi,ni head of michezo pale wachafu efuemu
Walitifuana wakatajana tabia zao,hadi Baba yake na semaji wa [emoji881] club na Mwenyewekiti wa [emoji881] club waliwaita kuwapatanisha! Mambo yalikua mazito sana IG kipindi hicho
😂😂😂🤣🤳🏽hahahaaa umenikumbusha jamaa yangu alikuwa na kapikipiki kake akitoke kati ya mji, akaona sio kesi ngoja apitie pale kwa macheni, alipofika pale akaagiza bia zake mbili, akazikata fasta, ghafla akaja muhudumu na bia mbili zingine, akamwambia jamaa yako amekuagizia, mwana bila kujiuliza akapiga, ataka kumaliza, zikaja tena mbili, mmh, jamaa akauliza ni nani anakutuma akaambiwa jamaa yule pale, kidogo ukaja mchemsho, jamaa kichwa ikaanza kuchaji, akaona hapa lazma nimuone anayeniagizia, wakati anamaliza mchemsho sasa ndio likaja pandikizi la dume, na yeye ndio anainuka, kwanza akashikwa tako, dah jamaa akahamaki, akaambiwa tulia kijana, mambo madogo tu haya, usijali utazoea unaonekana we ni mpya mambo haya bado huna uzoefu nayo, usijali hata wenzako walikuwa wakali kama wewe, akashikwa tena tako, janaa ilimchomoka ngumi moja matata sana, yule bazazi chali, damu kibao, cha ajabu alipoinuka akamuagizia aletewe bia tatu, kwani kijana anaonekana sildi, mshikaji alivyosikia hivyo akaanza kukimbia huku akipiga kelele, na pikipiki akaisahau, alipofika maskani ndio akaja kuomba msaada turudi nae afuate pikipiki...
msemaji wa club ya chui naye mchele?Kuna Hamu Money's na Iddy Kikanga! Aliyepo tibisii ni Hamu Money's na Iddy Kikanga juzi kati walitifuana na Msemaji wa [emoji881] club! Kumbe semaji wa [emoji881] club nae mchele mchele