Halafu like seriously a real man hanaga time ya kuzungumzia upuuzi et shoga kanitongoza, what happens in your PMs remain in your pm , we don’t need to know, sasa warumi mie nikisema ni expose kila mtu anayekuja kwa pm kutakalika? , mi na uchizi wangu wote Uwezi kukuta naongea upuuzi wowote uliopo kwa pm zangu, Niko na protocol Kali sana, brand yangu kubwa humu JF[emoji16], so I’m trying even harder to protect it, ni ushamba mtu anakuja kukutongoza pm halafu unayaleta huku Mxiee mbwa nyie.
Mimi hata uje na ahadi gani, I will never sleep na Mwanaume wa JF na sijawahi, mi ni malaya But I’m not cheap , hata mkijazana pm mnajisumbua tu , Mimi najielewa kuliko mnavyodhan[emoji23][emoji23][emoji23]