Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Mi nimependa tu hapo kuwa una pesa, magari na nyumba nzuri , eeh Mungu wa mbingun niepushe na hizi tamaa warumi mie[emoji23][emoji23], watantoa kizazi Mwaka huu[emoji16][emoji16]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bina danga hilooo
 
Binamu hivi twinda ni nani maana naskia alifunga busta sinza yoote nilikutana na Dada wa mjini juzi ht hakuniambia vzr nkasema ntakuuliza wewe!
Hata wewe.? Kweli mji mkubwa huu
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binam kwenye ubora wakoo
 
mfano mods wabadilishe heading "walowahi kula mashoga" uzi utafreeze kama vile amna watu[emoji1][emoji1].siamin hizi comments zote kwamba hayupo ata mmoja aliyechakata jicho la mwanaume mwenzake
 
Hahaha jamani kila laheri kwa dada warumi alivo hana roho mbaya naamini atatukumbuka kwenye ufalme wake sio mchoyo Kaka warumi

Shoga angu naanzaje kukusahau, wadangaji hatunaga show mbovu tukishamaliza kazi tunapasiana, mahaba apeleke kwa mkewe huko hapa kazi tu[emoji23]
 
mfano mods wabadilishe heading "walowahi kula mashoga" uzi utafreeze kama vile amna watu[emoji1][emoji1].siamin hizi comments zote kwamba hayupo ata mmoja aliyechakata jicho la mwanaume mwenzake

Watasema sasa ,lol
 
Shoga angu naanzaje kukusahau, wadangaji hatunaga show mbovu tukishamaliza kazi tunapasiana, mahaba apeleke kwa mkewe huko hapa kazi tu[emoji23]
Ukimalizana nae mwambie aache uongo uongo pumbavu zake
 
Warumi tufanye biashara basi [emoji39][emoji39][emoji39]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…