Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Ahahha
Pole shoga ukaliwa bure na kuibiwa juuu
Akii usikubali
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mwamba amejilipa

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha wewe hebu tuache sie tunamalizia kulia mxyuuuuuuu
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]dahhh
 
Namjua km muuza ngada wa Sinza mkwee!![emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]nlitaka nyamanyama za umbea!!!

Mbona inasemekana alikua anawachoma wauza ngada huu mzigo wa mwisho 50kg alikisanusha yeye ndio wakamf....[emoji850][emoji850][emoji850]
 
Aise nimecheka balaa hii comment nimeiludia Mara tatu kusoma
 
Mbona inasemekana alikua anawachoma wauza ngada huu mzigo wa mwisho 50kg alikisanusha yeye ndio wakamf....[emoji850][emoji850][emoji850]
Mi namjua km ye nae ana hizo mishe labda km kaacha na ni mdananda pia (kuwadi) kwa madada wa mjini tajiri wa roho!so yote yawezekana maana mjini kuna mambo mengi hatari!
 
[emoji3][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…