Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Mzee umenivunja mbavu aisee maana hii kali
hahahaaa umenikumbusha jamaa yangu alikuwa na kapikipiki kake akitoke kati ya mji, akaona sio kesi ngoja apitie pale kwa macheni, alipofika pale akaagiza bia zake mbili, akazikata fasta, ghafla akaja muhudumu na bia mbili zingine, akamwambia jamaa yako amekuagizia, mwana bila kujiuliza akapiga, ataka kumaliza, zikaja tena mbili, mmh, jamaa akauliza ni nani anakutuma akaambiwa jamaa yule pale, kidogo ukaja mchemsho, jamaa kichwa ikaanza kuchaji, akaona hapa lazma nimuone anayeniagizia, wakati anamaliza mchemsho sasa ndio likaja pandikizi la dume, na yeye ndio anainuka, kwanza akashikwa tako, dah jamaa akahamaki, akaambiwa tulia kijana, mambo madogo tu haya, usijali utazoea unaonekana we ni mpya mambo haya bado huna uzoefu nayo, usijali hata wenzako walikuwa wakali kama wewe, akashikwa tena tako, janaa ilimchomoka ngumi moja matata sana, yule bazazi chali, damu kibao, cha ajabu alipoinuka akamuagizia aletewe bia tatu, kwani kijana anaonekana sildi, mshikaji alivyosikia hivyo akaanza kukimbia huku akipiga kelele, na pikipiki akaisahau, alipofika maskani ndio akaja kuomba msaada turudi nae afuate pikipiki...
 
Aisee, nikimbuka nilikuwa kwenye kigodoro, dogo mmoja alikuwa shoga akaja akanishika Mahsine ya kutengeneza watoto, nikamwambia vipi wewe, akasema naitaka. Kipindi hiko nilikuwa nna miaka miwili sijatoa kutu. Nikamwambia twende. Nikaenda naye Gheto nikafumua za kutosha

Baaada ya hapo nikajikuta napendwa sana na watu wa gays, nikaachana na wanawake rasmi, nikawa mimi zangu na wao tu. Nilipofikia ile level kwamba hata ndoto nyevu naota nawapiga show nikalazimika kuadjust. So nikatoka na ujuzi wangu wa kuchezea vinyeo nikahamia nao kwa wanawake

Hadi sasa nikipata mwanamke msamfi lazima ninyonye sana nyuma, namtia ulimi hadi ndani, ujuzi huo wote niliupata baada ya kuwa na gays, recently sipendelei sana kuwa na gays, lakini kama katoto kanakuwa na sura nzuri, ila awe amekaza awe anaweza kudeka vizuri kwenye sita kwa sita, lazima afanyiwe vitu hatari apewe jando la porini

Kati ya vitu ambavyo niliona kwenye mashoga na kuamua kuondokana nao ni kuwa, jamaa wanapenda sana kuliwa, na kwa kuwa mahusiano hayo bongo hayakubaliki, huwa hawatulii na mtu mmoja, utakuta akimuona yoyote anamtongoza ili aliwe, so inakuwa ni risk sana kwenye suala la magonjwa
Nyie ndo mnaharibu vitto mtaan

we unazani vitoto vy secondary vinaanzaje ushoga kama watu kama nyinyi hamwashawishi

Ukiachangaja na mihemko vilivyo navyo si ndo mnaharibu ninyi
 
Wanaume tubaki kuwa wanaume bhana... Si poa kuliwa.... bora wanawake wasagane kuliko mwanaume kuliwa... ni hasara kwa taifa
 
Aisee, nikimbuka nilikuwa kwenye kigodoro, dogo mmoja alikuwa shoga akaja akanishika Mahsine ya kutengeneza watoto, nikamwambia vipi wewe, akasema naitaka. Kipindi hiko nilikuwa nna miaka miwili sijatoa kutu. Nikamwambia twende. Nikaenda naye Gheto nikafumua za kutosha

Baaada ya hapo nikajikuta napendwa sana na watu wa gays, nikaachana na wanawake rasmi, nikawa mimi zangu na wao tu. Nilipofikia ile level kwamba hata ndoto nyevu naota nawapiga show nikalazimika kuadjust. So nikatoka na ujuzi wangu wa kuchezea vinyeo nikahamia nao kwa wanawake

Hadi sasa nikipata mwanamke msamfi lazima ninyonye sana nyuma, namtia ulimi hadi ndani, ujuzi huo wote niliupata baada ya kuwa na gays, recently sipendelei sana kuwa na gays, lakini kama katoto kanakuwa na sura nzuri, ila awe amekaza awe anaweza kudeka vizuri kwenye sita kwa sita, lazima afanyiwe vitu hatari apewe jando la porini

Kati ya vitu ambavyo niliona kwenye mashoga na kuamua kuondokana nao ni kuwa, jamaa wanapenda sana kuliwa, na kwa kuwa mahusiano hayo bongo hayakubaliki, huwa hawatulii na mtu mmoja, utakuta akimuona yoyote anamtongoza ili aliwe, so inakuwa ni risk sana kwenye suala la magonjwa
Tubu hii dhambi
 
hahahaaa umenikumbusha jamaa yangu alikuwa na kapikipiki kake akitoke kati ya mji, akaona sio kesi ngoja apitie pale kwa macheni, alipofika pale akaagiza bia zake mbili, akazikata fasta, ghafla akaja muhudumu na bia mbili zingine, akamwambia jamaa yako amekuagizia, mwana bila kujiuliza akapiga, ataka kumaliza, zikaja tena mbili, mmh, jamaa akauliza ni nani anakutuma akaambiwa jamaa yule pale, kidogo ukaja mchemsho, jamaa kichwa ikaanza kuchaji, akaona hapa lazma nimuone anayeniagizia, wakati anamaliza mchemsho sasa ndio likaja pandikizi la dume, na yeye ndio anainuka, kwanza akashikwa tako, dah jamaa akahamaki, akaambiwa tulia kijana, mambo madogo tu haya, usijali utazoea unaonekana we ni mpya mambo haya bado huna uzoefu nayo, usijali hata wenzako walikuwa wakali kama wewe, akashikwa tena tako, janaa ilimchomoka ngumi moja matata sana, yule bazazi chali, damu kibao, cha ajabu alipoinuka akamuagizia aletewe bia tatu, kwani kijana anaonekana sildi, mshikaji alivyosikia hivyo akaanza kukimbia huku akipiga kelele, na pikipiki akaisahau, alipofika maskani ndio akaja kuomba msaada turudi nae afuate pikipiki...
[emoji23]
 
Hata pale Matema/C Park kinondoni B kuna wasagaji.
Nakumbuka nilikuwa nainuka kwenda msalani, ghafla mdada kavaa dera ananifuata nyuma.
Kufika msalani nae kasimama kwenye sinki nje....nilivyotoka akaanza kunitongoza kabisa.
Na aka-offer kuwa nikiondoka nae atanipa laki.
Nikajisemea laki kwa mtu asie na uume, haina hasara....
Mwisho....ila laki yake nilichukua.
Zali linidondokee na mimi jamani, natamani kutongozwa
 
Kuna wakati natafakari haya mambo,

Nadhani kila mtu afanye kinachomfurahisha yeye kwasababu mapenzi hayafanyiki hadharani.

Kwasababu wapo wanaume wanaochukia sana ushoga na mashoga lakin wanawaingilia nyuma wanawake.
Kwa hapa Dar haya mambo ya ushoga na usagaji yapo sana sana kila kona.
Kwasisi tunaokunywa pombe hawa watu tunakutana nao kila mahali hapa mjini.
Sioni haja ya kuwachukia kwasababu hawatulazimishi kufanya wanachofanya wao, tuwaache watajuana na Mungu wao.

Juz nilikuwa KIBOZONE BAR nilikutana naye mmoja bahati nilikaa naye jirani alipoleta hayo mambo nilimuambia NO lakin tulinunuliana vinywaji kwa amani tu.
 
Aah

Screenshot_20210704-153925~2.png
 
Back
Top Bottom