Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Transgender mbna unawazungumzia mkuu? Au mie ndo sielewi?
Shemale najua anazaliwaa natural, ila transgender ndo wanaofanya surgery.
Umeanza lini uchoyoo embu nipe hiyo connection watsap kule
 
Transgender mbna unawazungumzia mkuu? Au mie ndo sielewi?
Shemale najua anazaliwaa natural, ila transgender ndo wanaofanya surgery.
HaKuna shemale wa kuzaliwa
Kumbuka shemale( Tboy au trany) anakuwa anamuonekano wa kike na matiti lakin ana mbooo hakuna mtu anazaliwa hivo wale tboys unao wajua ni

surgery ambayo abadili mfum wa uzazi just anongez vitu vichache kama tities

lakini Transgender anabali adi viungo vya uzazi yaana complete to another gender,

Wanaozaliwa natural ni watu weny jinsia mbili na wenye hormones nyingi za jinsia nyingine

Tofautisha shemales na transgender
 
HaKuna shemale wa kuzaliwa
Kumbuka shemale( Tboy au trany) anakuwa anamuonekano wa kike na matiti lakin ana mbooo hakuna mtu anazaliwa hivo wale tboys unao wajua ni

surgery ambayo abadili mfum wa uzazi just anongez vitu vichache kama tities

lakini Transgender anabali adi viungo vya uzazi yaana complete to another gender,

Wanaozaliwa natural ni watu weny jinsia mbili na wenye hormones nyingi za jinsia nyingine

Tofautisha shemales na transgender
Ouk ahsante kwaa maarifa, nashukuru kwa ufafanuzi muruaa.
Ubarikiwe.
 
Chuo kuna jamaa mmoja alikua anahang na wadada tu, kwa pozi zake na kukatika kwenye mziki tukajua tu uyu sio mwanaume. Sasa mchizi wangu alikua anakula demu rafiki yake. Yule manzi akija kwa mchizi wangu akaanza kunipa stori jinsi jamaa anavyonitaka 🤔. Sema hio michezo sinaga nikapotezea mazima .
 
hahahaaa umenikumbusha jamaa yangu alikuwa na kapikipiki kake akitoke kati ya mji, akaona sio kesi ngoja apitie pale kwa macheni, alipofika pale akaagiza bia zake mbili, akazikata fasta, ghafla akaja muhudumu na bia mbili zingine, akamwambia jamaa yako amekuagizia, mwana bila kujiuliza akapiga, ataka kumaliza, zikaja tena mbili, mmh, jamaa akauliza ni nani anakutuma akaambiwa jamaa yule pale, kidogo ukaja mchemsho, jamaa kichwa ikaanza kuchaji, akaona hapa lazma nimuone anayeniagizia, wakati anamaliza mchemsho sasa ndio likaja pandikizi la dume, na yeye ndio anainuka, kwanza akashikwa tako, dah jamaa akahamaki, akaambiwa tulia kijana, mambo madogo tu haya, usijali utazoea unaonekana we ni mpya mambo haya bado huna uzoefu nayo, usijali hata wenzako walikuwa wakali kama wewe, akashikwa tena tako, janaa ilimchomoka ngumi moja matata sana, yule bazazi chali, damu kibao, cha ajabu alipoinuka akamuagizia aletewe bia tatu, kwani kijana anaonekana sildi, mshikaji alivyosikia hivyo akaanza kukimbia huku akipiga kelele, na pikipiki akaisahau, alipofika maskani ndio akaja kuomba msaada turudi nae afuate pikipiki...
🤣🤣Wallahy umejua kunichekesha..

Sipati picha wakati anakimbia huku anapiga kelele km kaona mzimu.
 
Thubutuuuh.
Mie huo mda wa kuhaha na gume gume km hilo nautoa wapi?
Anawa record hao anao kutana nao na ndo type zake,

Mie nipo ndani ya ndoa, tena Pete kidoleni, mwanaume mwenye kujua kupenda na kuthamini, na anatambua nafas yake ndani ya ndoa, na anatekeleza ipasavyo, ana status na Elimu yake nzuri, si haba kazi na pesa zimo.
Nianze kuhangaika iweje? Nmetulia ndani ya ndoa mie.

Tamaa sahivi wanaume straight ndo wanazo, wanaingia Gayism industry wakijifanya TOP, wanakutan na versatile wanaishia kubanduana zamu zamu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Nchi ina vituko hii khaaaah

Leo ndio najua kama cocasticcn mmama[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom