Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

Kwanini hii account isifutwe Sasa
Account itaendelea kubaki kwa kuwekewa R i p unakuta alikuwa mchangiaji na mtoa madini mzuri maudhui yake yataendelea kubakia humu
 
Ila wanawake wa kisasa nao ni wachochezi sana wa hii michongo ya kuingiliana vinyume na maumbile... utakuta mwanamke ana urafiki na shoga tena wanapika na kupakua wapo pia wanaume eti wana urafiki na mashoga..au utakuta kundi la wanawake au mwanamke hata akiwa peke yake kapiga/wamepiga picha wameelekeza makalio yao kwenye camera sasa maana yake huwaga nini?!

Mtu kuwa shoga ni chaguo tu... haijalishi alipitia nini. Anayo chance ya kuikataa ile hali na tukio, akamrudia mungu wake na akachukia na kujutia kabisa hayo matendo ya kishenzi na kishetani. Lakini pia anaewakandamiza au anaeshiriki kuwafanyia hilo tendo hawa mashoga nafkiri hayuko timamu kiakili... mtu timamu hafanyi ushetani/ukatili na ushenzi wa namna hii.

Tumche mungu guys maisha mafupi sana na kifo hakina hodi, tubu ndugu na badilika.
 
Kuna mmoja yupo humu jf nilikuwa nawasiliana naye as friend wa jf kumbe ana lake jambooo ni shogaaaa mpaka picha za mmkundu wake kanitumia na ni marufu humu jf[emoji51][emoji51]
Aisee
 
Kuna mmoja yupo humu jf nilikuwa nawasiliana naye as friend wa jf kumbe ana lake jambooo ni shogaaaa mpaka picha za mmkundu wake kanitumia na ni marufu humu jf[emoji51][emoji51]
Kwahio umeona kuundwu la griti thinka mmoja shoga
 
Back
Top Bottom