Wanawake bhana! Nilimkopesha 30k, kuomba anirudishie kanigeuza adui

Wanawake bhana! Nilimkopesha 30k, kuomba anirudishie kanigeuza adui

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Alikwama katika harakati zake za hapa na pale, hivyo akaniomba nimpatie elfu thelathini asogezee siku kisha kuahidi kunirudishia siku iliyofuata.

Cha ajabu siku iliyofuata akanilia buyu, kisha kesho yake! Nikaona kama nikiendelea kuwa kimya nitaisubiri mpaka ukamilifu wa dahali. Nikaona nimtingie ghetoni kwake. Baada ya kufika, nikawakuta nje yeye pamoja na sponsor wake, nikashuhudia akikabidhiwa minoti ya kutosha myekundu, nikavunga somewhere, baada ya lile jitu lenye miraba minne kuondoka nikamfuata binti na kumkumbusha.

Cha ajabu ananambia, "kwani wewe hujawahi toa sadaka?". Katika harakati za kubishana nae akanambia hana hela. Nikamwambia nimeshuhudia ukikabidhiwa minoti still anakataa. Nikatikisa kichwa kwa majonzi nikaondoka. Baada ya masaa mawili (jana saa 1 jioni) kamtuma mtoto aniletee hiyo 30k. Mida ya saa tatu nikakutana nae dukani, kumsemesha japo kwa salamu hajajibu chochote kitu, kabaki amenuna tu

Funzo: Usimkopeshe mwanamke pesa ambayo unamalengo nayo
 
Alikwama katika harakati zake za hapa na pale, hivyo akaniomba nimpatie elfu thelathini asogezee siku kisha kuahidi kunirudishia siku iliyofuata.

Cha ajabu siku iliyofuata akanilia buyu, kisha kesho yake! Nikaona kama nikiendelea kuwa kimya nitaisubiri mpaka ukamilifu wa dahali. Nikaona nimtingie ghetoni kwake. Baada ya kufika, nikawakuta nje yeye pamoja na sponsor wake, nikashuhudia akikabidhiwa minoti ya kutosha myekundu, nikavunga somewhere, baada ya lile jitu lenye miraba minne kuondoka nikamfuata binti na kumkumbusha.

Cha ajabu ananambia, "kwani wewe hujawahi toa sadaka?". Katika harakati za kubishana nae akanambia hana hela. Nikamwambia nimeshuhudia ukikabidhiwa minoti still anakataa. Nikatikisa kichwa kwa majonzi nikaondoka. Baada ya masaa mawili (jana saa 1 jioni) kamtuma mtoto aniletee hiyo 30k. Mida ya saa tatu nikakutana nae dukani, kumsemesha japo kwa salamu hajajibu chochote kitu, kabaki amenuna tu

Funzo: Usimkopeshe mwanamke pesa ambayo unamalengo nayo
Funzo no 2: mwanamke hata km n ndugu yako,mkopeshe ela ambayo unajua akikudhulumu hutakua na tatzo sana
 
Umri wako please,ukiombwa hela na demu iwe mkopo au msaada ujue anataka umchakate,tena alitaja kiwango elekezi kabisa cha bei ya kula mzigo
Siku nyingine ukiombwa hela na mwananke mwambie aje home kula mzigo mpe hela yake aliyoomba msijuane
 
Kama unataka urafiki na undugu uendelee, usimkopeshe hela mtu hata aje na gia ya namna gani. Nimejifunza na kuzielewa vyema tabia za watu kupitia watu 10 niliowakopesha pesa

Sasa hivi mtu akiomba mkopo, default answer ni “sipo vizuri sasa hivi nina marejesho ya mikopo napambana nayo”

Ni bora nimchangie mtu kiasi kidogo kama nimeguswa na shida yake ili atafute fedha nyingine kwingine kuliko kutoa mkopo na kupata stres za kudaiana zaidi ya mwaka mzima

Harafu wakopaji wengi mazwazwa kweli. Anaweza kusumbua kukulipa harafu baadae kidogo bila aibu anarudi kukopa. Niwaambie tu kwamba hakuna mtu huwa anasahau pesa yake wala kusamehe usumbufu kwenye kurejesha fedha yake
 
Kama unataka urafiki na undugu uendelee, usimkopeshe hela mtu hata aje na gia ya namna gani. Nimejifunza na kuzielewa vyema tabia za watu kupitia watu 10 niliowakopesha pesa

Sasa hivi mtu akiomba mkopo, default answer ni “sipo vizuri sasa hivi nina marejesho ya mikopo napambana nayo”

Ni bora nimchangie mtu kiasi kidogo kama nimeguswa na shida yake ili atafute fedha nyingine kwingine kuliko kutoa mkopo na kupata stres za kudaiana zaidi ya mwaka mzima

Harafu wakopaji wengi mazwazwa kweli. Anaweza kusumbua kukulipa harafu baadae kidogo bila aibu anarudi kukopa. Niwaambie tu kwamba hakuna mtu huwa anasahau pesa yake wala kusamehe usumbufu kwenye kurejesha fedha yake
Umenikumbusha,kuna demu nilimkopesha elfu 30 hivi alinipigia simu analia lia sana tukakubaliana atalipa after week mbili,akagoma kulipa nikasamehe deni
Juzi hapa kanipigia tena anaomba elfu 50 atarudisha mshahara ukitoka😀yani wana akili fupi sana
 
Back
Top Bottom