Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Kuna dada mmoja workmate alikopa 3M. Alikuwa na shughuli yake flani ya muhimu ila bajeti ikawa haikai. Ilikuwa March akaahidi kulipa end of AprilImewahi kunikuta,sio Mara 1 au Mara 2.
Kwasasa Biashara ya Kukopeshana na wanawake naenda Nayo kwa tahadhali sana.
Hajalipa hadi leo. Sad thing is najua anapata hela tena zaidi ya M7 monthly ila kulipa deni inakuwa ngumu
Sijui akili zao zipoje?