Wanawake bhana! Nilimkopesha 30k, kuomba anirudishie kanigeuza adui

Wanawake bhana! Nilimkopesha 30k, kuomba anirudishie kanigeuza adui

dunia ya sasa usikopeshe mtu labda kama unataka asiwepo tena kwenye maisha yako kwan ukiombwa hela huwez sema sina au kisa mwanamke unataka umpe ili usionekane maskini. wengi mi mafala hela ushasema unamalengo nayo alaf unamkopesha mtu kutokujielewa ndo maana mnasema matajiri wabahili ila tajiri hana ratiba za kukopesha annachojua ni kumake hela kwa juhudi na kuspend less
 
Alikwama katika harakati zake za hapa na pale, hivyo akaniomba nimpatie elfu thelathini asogezee siku kisha kuahidi kunirudishia siku iliyofuata.

Cha ajabu siku iliyofuata akanilia buyu, kisha kesho yake! Nikaona kama nikiendelea kuwa kimya nitaisubiri mpaka ukamilifu wa dahali. Nikaona nimtingie ghetoni kwake. Baada ya kufika, nikawakuta nje yeye pamoja na sponsor wake, nikashuhudia akikabidhiwa minoti ya kutosha myekundu, nikavunga somewhere, baada ya lile jitu lenye miraba minne kuondoka nikamfuata binti na kumkumbusha.

Cha ajabu ananambia, "kwani wewe hujawahi toa sadaka?". Katika harakati za kubishana nae akanambia hana hela. Nikamwambia nimeshuhudia ukikabidhiwa minoti still anakataa. Nikatikisa kichwa kwa majonzi nikaondoka. Baada ya masaa mawili (jana saa 1 jioni) kamtuma mtoto aniletee hiyo 30k. Mida ya saa tatu nikakutana nae dukani, kumsemesha japo kwa salamu hajajibu chochote kitu, kabaki amenuna tu

Funzo: Usimkopeshe mwanamke pesa ambayo unamalengo nayo
Kweli kabisa hawa viumbe ukiwapa pesa yako ni kuwatomber tuu hamna namna
 
="Consultant, post: 43780961, member: 11015"”

Ni bora nimchangie mtu kiasi kidogo kama nimeguswa na shida yake ili atafute fedha nyingine kwingine kuliko kutoa mkopo na kupata stres za kudaiana zaidi ya mwaka mzima.......



Umetoa muongozo mzuri.
 
dunia ya sasa usikopeshe mtu labda kama unataka asiwepo tena kwenye maisha yako kwan ukiombwa hela huwez sema sina au kisa mwanamke unataka umpe ili usionekane maskini. wengi mi mafala hela ushasema unamalengo nayo alaf unamkopesha mtu kutokujielewa ndo maana mnasema matajiri wabahili ila tajiri hana ratiba za kukopesha annachojua ni kumake hela kwa juhudi na kuspend less
Yes
 
Umenikumbusha,kuna demu nilimkopesha elfu 30 hivi alinipigia simu analia lia sana tukakubaliana atalipa after week mbili,akagoma kulipa nikasamehe deni
Juzi hapa kanipigia tena anaomba elfu 50 atarudisha mshahara ukitoka😀yani wana akili fupi sana
Akili fupi mno. Huyo jibu lake ni “sina pesa kwa sasa, sorry”

Huna sababu kupoteza nguvu na muda wako kumkumbusha yaliyotokea huko nyuma
 
Kimasihara on the process
Ndio ivyo, hiyo lugha nyepesi kabisa ya mwanamke kwa mwanaume.. Kuna siku dada mmoja ni bank teller mahala, aliniomba nimkopeshe elfu 10 atairudisha. Nilimtumia kwani alirudisha na kila aiku tuna chart nako kanacheka cheka nakatazama tuu
 
Back
Top Bottom