Wanawake bhana! Nilimkopesha 30k, kuomba anirudishie kanigeuza adui

Wanawake bhana! Nilimkopesha 30k, kuomba anirudishie kanigeuza adui

Sio kila mtu anawaza ngono kama wewe.
Me pesa nikikopesha atarudisha hayo mambo ya kusema tumalizane sina.

Sijui kwanini watu wengine huwa kitu mmekiweka kwenye ubongo ni ngono tu.

Mtoa mada kama umepata pesa yako akinuna atajua mwenyewe muhimu hesabu zako zimerudi.

Me kwenye pesa yangu aloo sinaga mchezo wa kuchekeana kisa mwanamke.
Hujakutana na wanawake wa mjini,atakubaka na deni linakufa natural death
 
Usijaribu,huyu atachukua laki na PAPUCHI ataisalula
Acha wivu wa kijinga wewe. 🤣🤣🤣🤣Sasa kama mwenzio anataka onja utam wa de libolo la mzabzab shida iko wapi? Wee mbususu yako sii u aibania....unaji self service🤣🤣🤣🤣
 
Mimi nina ka microfinance na nimeka run kwa zaidi ya mwaka sasa, definitely naweza sema usumbufu wa wanawake kwenye ulipaji ni mdogo kuliko wa wanaume.

Sichukui collateral yoyote, the thing is just based on trust.
 
Yeye kama atakua kaniamin kabugi mbaya sababu nshasema pale juu siazimishi tena hela.
Alafu wee inaelekea u have a very bad taste in both lovers and men in general. Tdh wanakula na kusepa, then unapata marafiki wa kiume unawakopesha hawakurudishii.
Wat is it about u that keeps attracting aint shiit niggas? Think about that. An i say this in gud faith
 
Alafu wee inaelekea u have a very bad taste in both lovers and men in general. Tdh wanakula na kusepa, then unapata marafiki wa kiume unawakopesha hawakurudishii.
Wat is it about u that keeps attracting aint shiit niggas? Think about that. An i say this in gud faith
Wee nawe kwan wewe hukutani na watu wa hovyo mtaani kwako? Ina mana wewe watu wote unaenda nao sawa? Acha hizo basi hapa ni kwa sababu tunawazungumzia watu walionizingua lakini kuna watu wema ninao tena wengi tu.
 
Wee nawe kwan wewe hukutani na watu wa hovyo mtaani kwako? Ina mana wewe watu wote unaenda nao sawa? Acha hizo basi hapa ni kwa sababu tunawazungumzia watu walionizingua lakini kuna watu wema ninao tena wengi tu.
Basi sawa ila usisahau kutuma hiyo laki rafiki nimebanwa kinoma.
Watu wa ajabu lazima tukutane nao maana dunia yenyewe imejaa watu wa ajabu ajabu tuuu
 
🤣🤣🤣 Au sio
Mie najua wee una roho ya kipekee. Mie wala sitaleta uswahili. Hela yako nakurudishia. Ni vile tuu nataka hiyo laki nikale mbususu moja ya pisi kali.

Nikishashusha wadhungu basi akili itatulia nitapiga kazi kweli kweli na boda yangu hela yako nakurudishia
 
Mie najua wee una roho ya kipekee. Mie wala sitaleta uswahili. Hela yako nakurudishia. Ni vile tuu nataka hiyo laki nikale mbususu moja ya pisi kali.

Nikishashusha wadhungu basi akili itatulia nitapiga kazi kweli kweli na boda yangu hela yako nakurudishia
Ila wanaume jaman unakopa hela ukavue pichu mtu 😂 hapo ndipo tunapopishana.
 
Back
Top Bottom