Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Usijaribu,huyu atachukua laki na PAPUCHI ataisalulaNjoo uchukue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijaribu,huyu atachukua laki na PAPUCHI ataisalulaNjoo uchukue
Hujakutana na wanawake wa mjini,atakubaka na deni linakufa natural deathSio kila mtu anawaza ngono kama wewe.
Me pesa nikikopesha atarudisha hayo mambo ya kusema tumalizane sina.
Sijui kwanini watu wengine huwa kitu mmekiweka kwenye ubongo ni ngono tu.
Mtoa mada kama umepata pesa yako akinuna atajua mwenyewe muhimu hesabu zako zimerudi.
Me kwenye pesa yangu aloo sinaga mchezo wa kuchekeana kisa mwanamke.
Acha wivu wa kijinga wewe. 🤣🤣🤣🤣Sasa kama mwenzio anataka onja utam wa de libolo la mzabzab shida iko wapi? Wee mbususu yako sii u aibania....unaji self service🤣🤣🤣🤣Usijaribu,huyu atachukua laki na PAPUCHI ataisalula
🤣🤣🤣Niache bhanaAcha wivu wa kijinga wewe. 🤣🤣🤣🤣Sasa kama mwenzio anataka onja utam wa de libolo la mzabzab shida iko wapi? Wee mbususu yako sii u aibania....unaji self service🤣🤣🤣🤣
Mie mbona nilishakuachaga....wacha mrembo kelsea mwenye roho nzuri anikopeshe kuokoa jahazi🤣🤣🤣Niache bhana
🤣🤣🤣🤣Anaenituliza Kwa sasa,hanikopei ananipa yote😋Mie mbona nilishakuachaga....wacha mrembo kelsea mwenye roho nzuri anikopeshe kuokoa jahazi
Yeye kama atakua kaniamin kabugi mbaya sababu nshasema pale juu siazimishi tena hela.Usijaribu,huyu atachukua laki na PAPUCHI ataisalula
Ha haa uko sahihi, mkopo hauna adabu kwa mwanamme au mwanamkeUsikopeshe yoyote,hapa nina watu watatu tofauti tena wanaume nawadai ajabu nimegeuka adui yao.
Alafu wee inaelekea u have a very bad taste in both lovers and men in general. Tdh wanakula na kusepa, then unapata marafiki wa kiume unawakopesha hawakurudishii.Yeye kama atakua kaniamin kabugi mbaya sababu nshasema pale juu siazimishi tena hela.
Mie najua hapa anasema hivyo ila hiyo hela atanikopesha tuu
Wee nawe kwan wewe hukutani na watu wa hovyo mtaani kwako? Ina mana wewe watu wote unaenda nao sawa? Acha hizo basi hapa ni kwa sababu tunawazungumzia watu walionizingua lakini kuna watu wema ninao tena wengi tu.Alafu wee inaelekea u have a very bad taste in both lovers and men in general. Tdh wanakula na kusepa, then unapata marafiki wa kiume unawakopesha hawakurudishii.
Wat is it about u that keeps attracting aint shiit niggas? Think about that. An i say this in gud faith
🤣🤣🤣 Au sioMie najua hapa anasema hivyo ila hiyo hela atanikopesha tuu
Basi sawa ila usisahau kutuma hiyo laki rafiki nimebanwa kinoma.Wee nawe kwan wewe hukutani na watu wa hovyo mtaani kwako? Ina mana wewe watu wote unaenda nao sawa? Acha hizo basi hapa ni kwa sababu tunawazungumzia watu walionizingua lakini kuna watu wema ninao tena wengi tu.
Mie najua wee una roho ya kipekee. Mie wala sitaleta uswahili. Hela yako nakurudishia. Ni vile tuu nataka hiyo laki nikale mbususu moja ya pisi kali.🤣🤣🤣 Au sio
We ndo unaonekana mshamba mshamba(sorry)!Hujakutana na wanawake wa mjini,atakubaka na deni linakufa natural death
Ila wanaume jaman unakopa hela ukavue pichu mtu 😂 hapo ndipo tunapopishana.Mie najua wee una roho ya kipekee. Mie wala sitaleta uswahili. Hela yako nakurudishia. Ni vile tuu nataka hiyo laki nikale mbususu moja ya pisi kali.
Nikishashusha wadhungu basi akili itatulia nitapiga kazi kweli kweli na boda yangu hela yako nakurudishia