Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume sisi hatuumii kukatiliwa na mwanamke ila tunaumia mwanamke akitudharau halafu baadae anarudi yakisha mshinda huko au akipigwa tukio anarudi.Ngoja nitoe kisa kimoja, mi si mtu wa kujiombelesha ovyo kwa wanaume,, ila kuna mbaba mmoja alianza tabia za kunitongoza, kiustaarabu lakini nikachomoa,, hakuchoka akaendelea kuchombeza vijimaneno,, mara kila asbh anitumie picha za good morning na goodnight Yani gallery ikajaa picha zake za maua maua[emoji28][emoji28] ikawa inanikera mnooo kumblock sikutaka maana mpk Sasa nimeshablock mbuzi nyingi sana,
Basi siku moja nikaamua kumuomba anikopeshe kiasi kidogo tu cha pesa hakukawia akaituma, Nilifanya hivyo ili badala ya kunitumia picha za maua na ujinga wake walau sasa atume text za kudai hela yake, baada ya muda km miezi 2 ndo kilichotokea akaanza kudai hela akaachana na maua,,mpk Sasa karibia mwaka sijamlipa na wala sitomlipa, walau najibu na sms zake za madai kuliko mautopolo aliyokuwa anatuma, mshamba kabisa yule, kila siku sms za kipuuzi halafu sijibu na hajishtukii anatuma tuuuuuuuu,, fyaaaaaaaa
Kwahiyo mara nyingine kujikopesha kwenu huwa Ni mbinu ya kuwafukuza mkafie huko na mlivyo na mavichwa mazito hamuelewi,,
Kwamba nitarudi kwa huyo mtuma maua maua😅😅😅 unaota weweWanaume sisi hatuumii kukatiliwa na mwanamke ila tunaumia mwanamke akitudharau halafu baadae anarudi yakisha mshinda huko au akipigwa tukio anarudi.
Unaonekana jeuri sana. Ila its good. Kwa ustaarabu tu, lipa pesa yake. Unachofanya ni ushamba na ung3s3!Ngoja nitoe kisa kimoja, mi si mtu wa kujiombelesha ovyo kwa wanaume,, ila kuna mbaba mmoja alianza tabia za kunitongoza, kiustaarabu lakini nikachomoa,, hakuchoka akaendelea kuchombeza vijimaneno,, mara kila asbh anitumie picha za good morning na goodnight Yani gallery ikajaa picha zake za maua maua[emoji28][emoji28] ikawa inanikera mnooo kumblock sikutaka maana mpk Sasa nimeshablock mbuzi nyingi sana,
Basi siku moja nikaamua kumuomba anikopeshe kiasi kidogo tu cha pesa hakukawia akaituma, Nilifanya hivyo ili badala ya kunitumia picha za maua na ujinga wake walau sasa atume text za kudai hela yake, baada ya muda km miezi 2 ndo kilichotokea akaanza kudai hela akaachana na maua,,mpk Sasa karibia mwaka sijamlipa na wala sitomlipa, walau najibu na sms zake za madai kuliko mautopolo aliyokuwa anatuma, mshamba kabisa yule, kila siku sms za kipuuzi halafu sijibu na hajishtukii anatuma tuuuuuuuu,, fyaaaaaaaa
Kwahiyo mara nyingine kujikopesha kwenu huwa Ni mbinu ya kuwafukuza mkafie huko na mlivyo na mavichwa mazito hamuelewi,,
Unaonekana jeuri sanaUnaonekana jeuri sana. Ila its good. Kwa ustaarabu tu, lipa pesa yake. Unachofanya ni ushamba na ung3s3!
Natamani ningekuwa mimi huyo dingi, aisee ungeinya hiyo hela. Na lock up ungekaa.
Bure salamu tuDai Pesa Yako Wewe. Bwana Bure Hayupo Ndugu Zangu
Mkuu utakuta anasema yeye siyo muuzaji umebiona malaya wanajificha umo.Umri wako please,ukiombwa hela na demu iwe mkopo au msaada ujue anataka umchakate,tena alitaja kiwango elekezi kabisa cha bei ya kula mzigo
Siku nyingine ukiombwa hela na mwananke mwambie aje home kula mzigo mpe hela yake aliyoomba msijuane
Akili zao hazina tofauti na Bata au kuku.Umenikumbusha,kuna demu nilimkopesha elfu 30 hivi alinipigia simu analia lia sana tukakubaliana atalipa after week mbili,akagoma kulipa nikasamehe deni
Juzi hapa kanipigia tena anaomba elfu 50 atarudisha mshahara ukitoka[emoji3]yani wana akili fupi sana
Huna akili, kama unazo basiNgoja nitoe kisa kimoja, mi si mtu wa kujiombelesha ovyo kwa wanaume,, ila kuna mbaba mmoja alianza tabia za kunitongoza, kiustaarabu lakini nikachomoa,, hakuchoka akaendelea kuchombeza vijimaneno,, mara kila asbh anitumie picha za good morning na goodnight Yani gallery ikajaa picha zake za maua maua[emoji28][emoji28] ikawa inanikera mnooo kumblock sikutaka maana mpk Sasa nimeshablock mbuzi nyingi sana,
Basi siku moja nikaamua kumuomba anikopeshe kiasi kidogo tu cha pesa hakukawia akaituma, Nilifanya hivyo ili badala ya kunitumia picha za maua na ujinga wake walau sasa atume text za kudai hela yake, baada ya muda km miezi 2 ndo kilichotokea akaanza kudai hela akaachana na maua,,mpk Sasa karibia mwaka sijamlipa na wala sitomlipa, walau najibu na sms zake za madai kuliko mautopolo aliyokuwa anatuma, mshamba kabisa yule, kila siku sms za kipuuzi halafu sijibu na hajishtukii anatuma tuuuuuuuu,, fyaaaaaaaa
Kwahiyo mara nyingine kujikopesha kwenu huwa Ni mbinu ya kuwafukuza mkafie huko na mlivyo na mavichwa mazito hamuelewi,,
Yeye ndiyo hana cha kukufanya coz ndiye ulimkopa, siyo mimi. Uliliokota lofa la kuja, hongera bhana.Unaonekana jeuri sana
[emoji115]Jibu Hilo hapo simlipi na cha kunifanya huna Wala yeye hana laumuni nyege zenu
Ni mtizamo wako😂😂Huna akili, kama unazo basi
Unanuka ufukara
Ngoja nikutumie namba yake naona una uhitaji wa kutongozwa Sana sio kwa maumivu haya jamani😏😏mjinga mmojaYeye ndiyo hana cha kukufanya coz ndiye ulimkopa, siyo mimi. Uliliokota lofa la kuja, hongera bhana.
Cha kukufanya mbona kipo? Jamaa hajakijua tu till this moment? Ushamba mzigo aisee. Huyo jamaa mshamba sana!
Narudia. Uliliokota la kuja malaya mmojaNgoja nikutumie namba yake naona una uhitaji wa kutongozwa Sana sio kwa maumivu haya jamani[emoji57][emoji57]mjinga mmoja
Tuma hiyo namba anitongoze nimpige bomba nimtoe ushambaNgoja nikutumie namba yake naona una uhitaji wa kutongozwa Sana sio kwa maumivu haya jamani[emoji57][emoji57]mjinga mmoja
Siyo wanawake tu. Inategemea tabia ya mtu; bila kujali kama ni mwanamke au mwanaume. Yalinipata ya hivyo kutoka kwa wanaume watatu.Funzo: Usimkopeshe mwanamke pesa ambayo unamalengo nayo
Kutolipa deni kama ulivyoahidi bila kutoa taarifa ni ukosefu wa akili. Hakuna kitu naogopa kama deni. Nikikopa ni wajibu kurudisha kwa wakati, kama wakati umefika wa kulipa kama nilivyo ahidi nitatoa taarifa kuwa anivumilia kwa siku kadhaa. Sijawahi acha lipa deni la mtu. Nilishawakopesha watu kama 3 150 kila mmoja, mpaka leo wameniblock k1bisa. Nimewaacha nione kama wtafika wapi na hizo hela. Sasa hivi nina watu 3 tu ambao tunakopeshana tukiwa na shida na kurudisha ni kwa wakati. Mwingine nalimpa 4m, nimeishia kurudishiwa kidogo kidogo. Zimebaki 2.4 m. Shida sana wabongo hawaKuna dada mmoja workmate alikopa 3M. Alikuwa na shughuli yake flani ya muhimu ila bajeti ikawa haikai. Ilikuwa March akaahidi kulipa end of April
Hajalipa hadi leo. Sad thing is najua anapata hela tena zaidi ya M7 monthly ila kulipa deni inakuwa ngumu
Sijui akili zao zipoje?
Tatizo mnatrend kwa mambo ya kizwazwa ...hii jamii ya kiume mnayo itengeneza majibu yake mtayapata wala msijari inaweza usiyapate wewe ila wasichana wako wakayapata ....maana sikuhizi wanaume wenye kumbukumbu nzuri na wanawake wanaisha wote walio baki wanamemory mbaya na wanawakeWanawake tuna trend sana
Kumbe umo humu unatangaza biashara yako ya ushoga,, pambana utapata mi kifanyio SinaTuma hiyo namba anitongoze nimpige bomba nimtoe ushamba
Ukawa unawapelekea moto tuuWengi akili zao utaomba mbususu mmalizane.
Niliwahi fanya biashara ya kukopesha kwa riba, akija mteja wa kike ajisogeza, anakuwekea mazingira utongoze tu mkopo ugeuke HUDUMA 😂