Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
Kwa hiyo mwanamke ajikopee tu anavyotaka na asidaiwe siyo?SAsa wewe unaanzaje kumdai mwanamke pesa,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mwanamke ajikopee tu anavyotaka na asidaiwe siyo?SAsa wewe unaanzaje kumdai mwanamke pesa,
SahihiMimi nina ka microfinance na nimeka run kwa zaidi ya mwaka sasa, definitely naweza sema usumbufu wa wanawake kwenye ulipaji ni mdogo kuliko wa wanaume.
Sichukui collateral yoyote, the thing is just based on trust.
Anajifanya baba ushauri,wakati Yeye mwenyewe anataka akukope na kukukojolea bure....alisema anaokutana nao wanamkimbia Kwa ukibamia tuWee nawe kwan wewe hukutani na watu wa hovyo mtaani kwako? Ina mana wewe watu wote unaenda nao sawa? Acha hizo basi hapa ni kwa sababu tunawazungumzia watu walionizingua lakini kuna watu wema ninao tena wengi tu.
Nyie mbona mnakopa muweke kucha bandia....kila mtu. Na kipaumbele chakeIla wanaume jaman unakopa hela ukavue pichu mtu 😂 hapo ndipo tunapopishana.
Hujui nguvu ya mwanamke.usimuite mwanzako mshamba au mjinga hayajakukuta labda kwa nyie ambao sio marijaliWe ndo unaonekana mshamba mshamba(sorry)!
Mstari utenganishao ushamba na urijali ni mpana sana.Hujui nguvu ya mwanamke.usimuite mwanzako mshamba au mjinga hayajakukuta labda kwa nyie ambao sio marijali
Aah hapana aisee sijawah, huwa nakopa kwenye mambo ya ulazima tu.Nyie mbona mnakopa muweke kucha bandia....kila mtu. Na kipaumbele chake
Basi na sie kutomber ni jambo la ulazima...mambo ya self service tunamuachia BeesmomAah hapana aisee sijawah, huwa nakopa kwenye mambo ya ulazima tu.
Nimekumiss jamani mrembo🤣🤣🤣Unanitafuta ee?
Shambulizi gani tena hilo😳So upo tayari Kwa shambulizi kali Kelsea akiona hii reply Yako?
🤣unasema akupe mbususu,akukopee...hapohapo unamiss warembo wengine pembeniShambulizi gani tena hilo
Kelsea hana noma yeye anajua dunia hii hamnaga mbususu wa de libolo yako peke yako🤣unasema akupe mbususu,akukopee...hapohapo unamiss warembo wengine pembeni
Afadhali wew, mm nna orodha ndefu wakiwemp wanaume 7Usikopeshe yoyote,hapa nina watu watatu tofauti tena wanaume nawadai ajabu nimegeuka adui yao.
Khaaa! Hovyo kabisa.Afadhali wew, mm nna orodha ndefu wakiwemp wanaume 7
🤣🤣namshauri aachane na debolo hizo Bora ajipige selfieKelsea hana noma yeye anajua dunia hii hamnaga mbususu wa de libolo yako peke yako
Etii eeh 😂Kelsea hana noma yeye anajua dunia hii hamnaga mbususu wa de libolo yako peke yako