Wanawake bora bado wapo, hongera sana mke wa Joseph Haule (Profesa Jay)

Dagaa chakula kizuri sana kuanzia ladha mpaka virutubisho, sijui kwa nini Watanzania wanakidharau sana.

Dagaa ni chakula chenye protini nyingi sana. Ukipata dagaa walioungwa vizuri ni watamu sana.

Kwa nini kuna kasumba sana dhidi ya dagaa?
Ukatane kijana kutoka familia masikini halafu kapata pata senti kidogo kwake maziwa na dagaa ni chakula kisicho na hadhi ila pizza na cocacola ni vyakula vyenye hadhi.

Akili ya kimasikini husababisha kudharau vile vya asili na natural ambavyo vilikukuza bila kushambuliwa na magonjwa.
 
Mungu wetu sote ni mkubwa nampa pole na hongera Joseph Haule, ongea yake sasa ni mtu jasiri zaidi na shuhuda wa mengi sana
 
Mke ukimrahisishia maisha hawezi kukimbia ukiwa na matatizo
Nawapenda na nawaheshimu sana wanawake ila hapa UMEONGEA UONGO.

Mwanamke ni binadamu kama mwanaume tu, kuna wema na kuna YENYE ROHO MBAYA SANA. Sasa inategemea na bahati yako.
 
Ila prof enzi za ujana wake alikuwa anakula kitu laini sana kwa jina la Nice Chande. Yule manzi ni mzuri wa sura na shepu moja la hatari. Ikasemekana kigogo fulani akampora.
 
Kwa heshima ya mgonjwa, ngoja wenye habari za chini ya kapeti tupige kimya...

Wahenga walishasema ""usilolijua ni sawa na usiku wa giza"...
 
Dagaa chakula kizuri sana kuanzia ladha mpaka virutubisho, sijui kwa nini Watanzania wanakidharau sana.

Dagaa ni chakula chenye protini nyingi sana. Ukipata dagaa walioungwa vizuri ni watamu sana.

Kwa nini kuna kasumba sana dhidi ya dagaa?
Hapo tatizo ni elimu mkuu😂
 
Ahsante ndiyo nimejua leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…