Wanawake, hakikisheni kuwa sababu zenu za kumkataa mtu ni za msingi na za maana

Wanawake, hakikisheni kuwa sababu zenu za kumkataa mtu ni za msingi na za maana

Hii

Kitu imenigusa mkuu mtu Kuja kwasababu ya ahueni
Kwa sasa ndivyo mambo yalivyo. Anamwacha anayempenda anaenda kwa mwenye fedha. baada ya kuzoea hayo maisha anaanza kuona hayana maana anaanza kumiss jamaa yake. Kwakuwa ashaoelwa anaanza cheat, na mshikaji anakukomoa kwa sababu anaona kama ulimkatili, mwisho una watoto 4 kumbe 3 wote si wa kwako.
 
Sura mbaya inaponya roho.

Halafu wanawake wenye MASURA MABAYA huwa wana MBUNYE TAMU mno kama SUKARI GURU.

Unakuta LIMBUNYE LA MOTO linanata sana, unakula mpaka unasema asante wewe dada mwenye SURA MBAYA.

Cc: min -me raraa reree Half american Extrovert Mbaga Jr Poor Brain Mzee wa kupambania ChoiceVariable Lucas Mwashambwa Tlaatlaah Kalpana Lamomy cocastic Kapeace
Ahsante wewe dada mwenye sura mbaya 😂

Umenikumbusha mngoni wangu mtaaam sana ila nikishamaliza tu naanza kujilaumu ila genye mbaya sana.
 
Just imagine umekaana na mshikaji miaka mi 4
Mmetambulishana Kwa familia Ujanja wote mshikaji anakufundisha akijua kabisa wewe sio mzuri ila kaamua kukuheshimu tu hakufanyiii usenge

Ghafla unapagawa na msela mwenye Subaru unaongoka Kwa aliye vumilia ubaya wako Kwa dharau na kebehi

Unazani umepata ka jamaa ka Subaru kana kupigisha kwata haswa Hadi kanakufirisi na biashara yako akili zinakurudi unaanza kuwa una msumbua ex-wako na wakati uliondoka Kwa nyodo na dharau

Wanawake baadhi ni nyumbu sana uyu nmechoka na nimechoshwa na simu zake

SHE IS A WOLF IN SHEEPING CLOTHING

Wadau tujitenge Sana na wanawake wenye tamaa ni sumu anaweza kukuua kabisa kisa pesa
Wanawake wengine ni Monsters jamani, msituone wanaume hatujui tunachokifanya aisee. Ni real devils hawa nakwambia
 
Kwa sasa ndivyo mambo yalivyo. Anamwacha anayempenda anaenda kwa mwenye fedha. baada ya kuzoea hayo maisha anaanza kuona hayana maana anaanza kumiss jamaa yake. Kwakuwa ashaoelwa anaanza cheat, na mshikaji anakukomoa kwa sababu anaona kama ulimkatili, mwisho una watoto 4 kumbe 3 wote si wa kwako.
Sasa tunafanye kwa situation kama hii Ina kwa ukweli

Regina Daniel's ni msanii wa Nigeria aliwah nukuliwa akisema amemuacha boyfriend wake sababu ya financial stability akaenda kwa yule mzee ned nwoko yule tajiri
 
Sasa tunafanye kwa situation kama hii Ina kwa ukweli

Regina Daniel's ni msanii wa Nigeria aliwah nukuliwa akisema amemuacha boyfriend wake sababu ya financial stability akaenda kwa yule mzee ned nwoko yule tajiri
Yule mzee itakwua ana mtrack yule ana ela si mchezo. Binti akijichanganya au mjuba analiwa kichwa. Mkuu tunaishi tu kwa imani.
 
Kwani huyu si analia kwasababu ya mapenzi au ulidhani analilia pipi? Wanaolialia hovyo tena hadharani ndo wana akili fupi.

Ukitendwa unajifungia unalia siku mbili au tatu baada ya wiki unatoka kama hakuna lilitokea maisha yanasonga.
Alili bali ana-share life experience
 
Mkuu wewe jitume kwenye mishe zako tengeneza pesa enjoy maisha. Ila siku nyingine pambania ndoto zako mwenyewe hakuna wakukusaidia. Usiseme eti unamuandaa mwanamke kuja kuishi naye, nyie kutaneni tu kati kati ya safari kuondoa mifadhaiko kama hii.

Sema nini kapite na rafiki yake kipenzi akome
 
FK21 Kaza moyo hapa duniani uwashinde wasaliti ooh Mola akulendee ooh ooh akusaidi.
Waenda kazini nako moto warudi nyumbani Subaru kabeba. Pale mtaani unapoishi mpenzi wako anao wawili.

Mwanaume unapopatwa na janga aaah aah macho huwa mekundu kwa uchungu lakini katu katu usikate tamaaa.

Wanaume tumeumbwa mateesooo mateso kuhangaika
 
Anzeni kuwekeza hela muone maumivu yake. Wewe hauwekezi chochote zaidi ya hisia hivi mahusiano yakifa unaweza kulinganisha maumivu yake na mtu ambae amekusomesha au kukufungulia biashara?

Wanaoongoza kudai talaka ni wanawake na hii ni kwa sababu hamna cha kupoteza, unafikiri sharti la kugawana mali likiondolewa kuna mwanaume ambae ataogopa au ataumizwa na talaka? Hamuumii sio kwamba mpo imara, ni kwa sababu hamuwekezi pesa au mali kwenye mahusiano.
Huyo Demi yeye anachochangia ni K tu halafu anataka awe na maumivu akiachwa.
 
FK21 Kaza moyo hapa duniani uwashinde wasaliti ooh Mola akulendee ooh ooh akusaidi.
Waenda kazini nako moto warudi nyumbani Subaru kabeba. Pale mtaani unapoishi mpenzi wako anao wawili.

Mwanaume unapopatwa na janga aaah aah macho huwa mekundu kwa uchungu lakini katu katu usikate tamaaa.

Wanaume tumeumbwa mateesooo mateso kuhangaika
Unastahili fimbo kabisa 😁🥶

Anyways"Ukizaliwa mwanaume we ujue Kila kwako itakuwa ni tabu "
 
unataka kupiga uber au bolt mkuu? Kama ni hivyo unahitaji gari ambalo ni la uhakika sio kwenda garage kila siku hapo walau uwe na fedha nzuri mkuu.
Mfano mtu akiwa na milioni nane, anapata gari la aina gani? Ni kwa mtu au used?
 
Kuna mdau alisema lianzishwe jukwaa la malalamiko ya mapenzi yanayotolewa na wanaume.

Melo tafadhali ongeza jukwaa la LIA LIA FORUM FOR MEN
Sio wanaume,sema wavulana,

Wanaume issue ndogo kama hizi hua tuna handle sisi wenyewe,

Kamwe usimsamehe msaliti wala kumpa nafasi nyingine.
 
unapata dem
Unamuuliza anataka mwanaume wa vipi anakujibu;
Care
Attention
Support
Honest

Ulivyomjinga unafurai na kukubali bila kuelewa amemanisha nini🤣🤣
Chukua letter zote za kwanza ujue dem anataka nini

C+A+S+H=Cash

Tafuta hela upendwe wewe👉👉👉
 
Back
Top Bottom