Wanawake hamnaga shukrani kabisa

Wanawake hamnaga shukrani kabisa

Daaa amenikumbusha machungu .. nilikutana na binti mmoja mdogo hospital Ana vichanga mapacha vinaumwa .. ametelekezwa hana msaada wowote .. nikajikuta nimeingia huruma nikamsaidia sana matibabu ya wale watoto bahati mbaya mmoja akatuacha . Akabaki mmoja akawa anahangaika naye hospital mbali mbali mwaka mzima .. nampa nauli matibabu .. chakula..... duuuu kilichokuja kutokea 1yrs later .. mungu ahimidiwe
 
Unakutana na mwanamke amefwafwanzika hakuna anayemtamani na kitoto chake chenye utapiamlo.

Unamchukua mnaanza kufanya maisha, anaanza kupendeza na kuvutia wengine, baadaye anaamua kukusaliti kabisa na kuanza kukuona si chochote.

Mbaya zaidi mwishoni unapewa jibu la "fanya mambo yako"

Kweli nimeamini usitongoze mwanamke akiwa kwenye matatizo, matatizo yake yakiisha lazima akusahau.
Tatizo hukumpenda, ulimuhurumia. Wanawake wa hivyo huwa wanatafuta pa kupata nafuu sababu maisha yamewapiga. Si kwasababu unapendwa sana
 
Back
Top Bottom