Ndivyo inatakiwa. Lakini vitu hutokeaSiwezi zungumzia wengine lakini Mimi nilifikiri ukishaingia kwenye ndoa inatakiwa ujicomit 100% kwenye familia yako
kumbe nilikuwa najidangany?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Zangu Mjifunze KuchaguaNami nikuulize ulipomuo huyo ukakuta tayari ulimuuliza nini kilikupelekea mpaka akaitoa bila ndoa
Maendeleo hayana chama
kwa miaka kama 10 nilijicomit kwwnye familia
Kwakweli.Mbaazi Ukikosa Maua Husingizia Jua
Kumbe Mama Gifti ulimuoa bikra? Mbona kama alikuwa ashabanduliwa tayari?Wenye mliooa wasio mabikra, mnazidi kutaabika kifikra.
Msimamo wako Ni kama wangu sitoki na mke wa mtuHapa inategemeana na aina ya mwanamke. But yes nina mfano hai. One of my ex aliolewa.. miaka miwili iliyopita. Binafsi nilishamfuta kwenye akili. But gafla juzi nikaona namba ngeni, kumbe ni yeye bwana.. si ndio akaanza soothing.. mara sijui bado naku.. basi maneno kibao. Ila nilichogundua anataka tena..
Na moja ya sheria zangu.. sitok na mke wa mtu hata kama alikuwa demu wangu huko nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee mama huo u lips ni wa kwako hapo dp?Kwakweli.
Hahah ulitumia mahasira sanaMimi ndo kabiiisa nakosa imani na hawa watu...!!alinidanganya n bkr...siku 1 be4 mchezo ananambia alkuwa na mtu so ilitolewa akiwa darasa la 7...!!nkamchapa hlf nkabwagilia mbali....sasa hv xnaga haata habari nao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi pia sigusi mama ya mtu kama ambavyo sitaki yangu iguswe. Im very straight on that.Hapa inategemeana na aina ya mwanamke. But yes nina mfano hai. One of my ex aliolewa.. miaka miwili iliyopita. Binafsi nilishamfuta kwenye akili. But gafla juzi nikaona namba ngeni, kumbe ni yeye bwana.. si ndio akaanza soothing.. mara sijui bado naku.. basi maneno kibao. Ila nilichogundua anataka tena..
Na moja ya sheria zangu.. sitok na mke wa mtu hata kama alikuwa demu wangu huko nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niamini.Vyako wamekulaMi pia sigusi mama ya mtu kama ambavyo sitaki yangu iguswe. Im very straight on that.
Hahahaaaaa....... Wakati tunaoa akina siehazikuwepo bikra za kutengeneza, zilikuwa ni zile 'og'.Kumbe Mama Gifti ulimuoa bikra? Mbona kama alikuwa ashabanduliwa tayari?
Napita lakini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni ishu mtambuka sana but tatizo ni kwamba huwezi mchunga mtu mzima. Kuna wakati nilikuwa napata tabu sana kuona hata mpenzi wangu anatongozwa na team fisi.Habari ndugu zangu,Poleni na mihangaiko ya kuhangaikia mikate yenu ya kila siku kuhakikisha Familia zenu zinapata mikate ya kila siku.
Narudi kwenye Mada Nina evidences zaidi ya 10 naona wake za watu wanapokutana na ma ex wao wanashindwa kujizuia, Jamaa wanang'oa tu kilaini, na wakati mwingine hawa wanawake ndiyo wanajichekesha wenyewe kuonesha wanataka kitu kutoka kwa hao ma ex wao.
Nachelea kusema nakibaliana na jamaa mmoja humu aliwahi kusema nanukuu "ukioa mwanamke amabaye siyo bikra basi umeoa mke wa mtu.
Sasa ndugu zangu nipeni mawazo maana nahisi naelekea kutowaamini wanawake akiwemo mke wangu maana naye yumo
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
sawaHahahaaaaa....... Wakati tunaoa akina siehazikuwepo bikra za kutengeneza, zilikuwa ni zile 'og'.
Na mimi nimegundua hill baada ya kuishi miaa zaidi ya kumi na tano kwa uaminifu mkubwaHii ni ishu mtambuka sana but tatizo ni kwamba huwezi mchunga mtu mzima. Kuna wakati nilikuwa napata tabu sana kuona hata mpenzi wangu anatongozwa na team fisi.
Ilikuwa inauma sana roho but after some times nikaanza kuzoea tho ilikuwa inasababisha quarells sana but now nimetransform. Nakamata totoz kisela nazimega kimya kimya na simuwazi tena manzi, akitongozwa au asitongozwe shauri yake ila mie nikipata chance napiga za kindiki kiroho safi. Kuwaza mwanamke hatokuchit utajiumiza hasa ukiwa overprotective.
Ndivyo ilivyo mkuu, utaishi maisha marefu sana kama usipotaka kujua mkeo anafanyaga nini akiwa mbali na wewe. Ubaya tu asiwe na kiburi. Ila pia nawewe usijinyime, cheza gemu za kindiki kwa step, piga ukipata nafasi ila usijisahau uendelee kumuheshimu mkeo.Na mimi nimegundua hill baada ya kuishi miaa zaidi ya kumi na tano kwa uaminifu mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana hii ndo shida ya kuwa na x wachache.Aisee sijabahatika kutana na x wangu kabisa. Almost kama 10 years sasa.