Wanawake hamuwezi kuachana na Ma Ex wenu?

Wanawake hamuwezi kuachana na Ma Ex wenu?

Mimi ndo kabiiisa nakosa imani na hawa watu...!!alinidanganya n bkr...siku 1 be4 mchezo ananambia alkuwa na mtu so ilitolewa akiwa darasa la 7...!!nkamchapa hlf nkabwagilia mbali....sasa hv xnaga haata habari nao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa inategemeana na aina ya mwanamke. But yes nina mfano hai. One of my ex aliolewa.. miaka miwili iliyopita. Binafsi nilishamfuta kwenye akili. But gafla juzi nikaona namba ngeni, kumbe ni yeye bwana.. si ndio akaanza soothing.. mara sijui bado naku.. basi maneno kibao. Ila nilichogundua anataka tena..
Na moja ya sheria zangu.. sitok na mke wa mtu hata kama alikuwa demu wangu huko nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Msimamo wako Ni kama wangu sitoki na mke wa mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa inategemeana na aina ya mwanamke. But yes nina mfano hai. One of my ex aliolewa.. miaka miwili iliyopita. Binafsi nilishamfuta kwenye akili. But gafla juzi nikaona namba ngeni, kumbe ni yeye bwana.. si ndio akaanza soothing.. mara sijui bado naku.. basi maneno kibao. Ila nilichogundua anataka tena..
Na moja ya sheria zangu.. sitok na mke wa mtu hata kama alikuwa demu wangu huko nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi pia sigusi mama ya mtu kama ambavyo sitaki yangu iguswe. Im very straight on that.
 
Habari ndugu zangu,Poleni na mihangaiko ya kuhangaikia mikate yenu ya kila siku kuhakikisha Familia zenu zinapata mikate ya kila siku.

Narudi kwenye Mada Nina evidences zaidi ya 10 naona wake za watu wanapokutana na ma ex wao wanashindwa kujizuia, Jamaa wanang'oa tu kilaini, na wakati mwingine hawa wanawake ndiyo wanajichekesha wenyewe kuonesha wanataka kitu kutoka kwa hao ma ex wao.

Nachelea kusema nakibaliana na jamaa mmoja humu aliwahi kusema nanukuu "ukioa mwanamke amabaye siyo bikra basi umeoa mke wa mtu.

Sasa ndugu zangu nipeni mawazo maana nahisi naelekea kutowaamini wanawake akiwemo mke wangu maana naye yumo

Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni ishu mtambuka sana but tatizo ni kwamba huwezi mchunga mtu mzima. Kuna wakati nilikuwa napata tabu sana kuona hata mpenzi wangu anatongozwa na team fisi.

Ilikuwa inauma sana roho but after some times nikaanza kuzoea tho ilikuwa inasababisha quarells sana but now nimetransform. Nakamata totoz kisela nazimega kimya kimya na simuwazi tena manzi, akitongozwa au asitongozwe shauri yake ila mie nikipata chance napiga za kindiki kiroho safi. Kuwaza mwanamke hatokuchit utajiumiza hasa ukiwa overprotective.
 
Hii ni ishu mtambuka sana but tatizo ni kwamba huwezi mchunga mtu mzima. Kuna wakati nilikuwa napata tabu sana kuona hata mpenzi wangu anatongozwa na team fisi.

Ilikuwa inauma sana roho but after some times nikaanza kuzoea tho ilikuwa inasababisha quarells sana but now nimetransform. Nakamata totoz kisela nazimega kimya kimya na simuwazi tena manzi, akitongozwa au asitongozwe shauri yake ila mie nikipata chance napiga za kindiki kiroho safi. Kuwaza mwanamke hatokuchit utajiumiza hasa ukiwa overprotective.
Na mimi nimegundua hill baada ya kuishi miaa zaidi ya kumi na tano kwa uaminifu mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mimi nimegundua hill baada ya kuishi miaa zaidi ya kumi na tano kwa uaminifu mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndivyo ilivyo mkuu, utaishi maisha marefu sana kama usipotaka kujua mkeo anafanyaga nini akiwa mbali na wewe. Ubaya tu asiwe na kiburi. Ila pia nawewe usijinyime, cheza gemu za kindiki kwa step, piga ukipata nafasi ila usijisahau uendelee kumuheshimu mkeo.
 
Back
Top Bottom