UmenichekeshaUkimchunguza sana kuku hauwezi kumla, ww kama unaoa oa hayo mambo ya kuogopa kua utachapiwa mwisho wa cku utazeeka bila mke wala mtoto, wanachapiwa marais na wafalme ww ni nani hta usionjewe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Machango wako ni wamuhimu bana
Aah wapi mi naangalia tu kaka zako wanavyotokwa povu utadhani hao wanawake huwa wanapasha viporo na mashetaniMachango wako ni wamuhimu bana
Wanaume wote tungekuwa na mtazamo kama Wako Ingekuwa vizuri Sana.Hapa inategemeana na aina ya mwanamke. But yes nina mfano hai. One of my ex aliolewa.. miaka miwili iliyopita. Binafsi nilishamfuta kwenye akili. But gafla juzi nikaona namba ngeni, kumbe ni yeye bwana.. si ndio akaanza soothing.. mara sijui bado naku.. basi maneno kibao. Ila nilichogundua anataka tena..
Na moja ya sheria zangu.. sitok na mke wa mtu hata kama alikuwa demu wangu huko nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa.Hii ni ishu mtambuka sana but tatizo ni kwamba huwezi mchunga mtu mzima. Kuna wakati nilikuwa napata tabu sana kuona hata mpenzi wangu anatongozwa na team fisi.
Ilikuwa inauma sana roho but after some times nikaanza kuzoea tho ilikuwa inasababisha quarells sana but now nimetransform. Nakamata totoz kisela nazimega kimya kimya na simuwazi tena manzi, akitongozwa au asitongozwe shauri yake ila mie nikipata chance napiga za kindiki kiroho safi. Kuwaza mwanamke hatokuchit utajiumiza hasa ukiwa overprotective.
In every general rule there is an exceptional! Wengine hatuna hako kaujinga yaani mi Kama boda boda Sina reverse ha ha always forwardHahahah kumbe kweli, sasa muachage maujinga hayo!
Hahah ujakutana na mndewa anaejua kukonga ngoma za masikio yako. Njoo tuyajenge then ujue kwanini paka ana sharubu ila sio ndevu!In every general rule there is an exceptional! Wengine hatuna hako kaujinga yaani mi Kama boda boda Sina reverse ha ha always forward
Sent using Jamii Forums mobile app
Ma ex hua hawatupani mi nna ex wangu yupo Mwanza Kila nikienda lazima amtoroke jamaa ake aje nimchafue na mabao ndio aridhikeMbona hata nyie hamuwezi kuachana na ma ex zenu, sasa sisi tutawezaje km nyie wanaume bado mnatuchombeza tena.!
Cheap excuse.
Kunasiku utakojolewa nyuma mbwaa weMa ex hua hawatupani mi nna ex wangu yupo Mwanza Kila nikienda lazima amtoroke jamaa ake aje nimchafue na mabao ndio aridhike
Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo linakuja hapa tuu.. mara nyingi sisi hatujiamini kwa ma ex wa wapenz wetu tukiwa na mawazo kuwa kuna vitu wanatuzidi... mf. maumbile uwezo wa kumridhisha nk. lkn kwetu unakuta enz hizo ma ex wetu walikuwa wa kawaida kuliko wake zetu.. (si wote).. ndo maana ukamchagua awe mkeo kakuvutia kwa vingi.kama wameachana kwa wema mtanange utendelea
lakini na ww una x, ko unaendeleza kama vile umuwaziavyo mkeo.
basi kua na amani.
Hizi Ni ndoto za mchana.Siwezi zungumzia wengine lakini Mimi nilifikiri ukishaingia kwenye ndoa inatakiwa ujicomit 100% kwenye familia yako
kumbe nilikuwa najidangany?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ndoa ililazimishwa na yeye hakuridhia basi ujue wakikutana watapasha kiporo. True love huws haifi..
Hiyo kitu nimeshuhudia sana
Sent using Jamii Forums mobile app