misosai
Member
- Jan 10, 2019
- 15
- 2
UmenichekeshaUkimchunguza sana kuku hauwezi kumla, ww kama unaoa oa hayo mambo ya kuogopa kua utachapiwa mwisho wa cku utazeeka bila mke wala mtoto, wanachapiwa marais na wafalme ww ni nani hta usionjewe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app