Wanawake hamuwezi kuachana na Ma Ex wenu?

Wanawake hamuwezi kuachana na Ma Ex wenu?

lindunduru

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2015
Posts
392
Reaction score
553
Habari ndugu zangu,Poleni na mihangaiko ya kuhangaikia mikate yenu ya kila siku kuhakikisha Familia zenu zinapata mikate ya kila siku.

Narudi kwenye Mada Nina evidences zaidi ya 10 naona wake za watu wanapokutana na ma ex wao wanashindwa kujizuia, Jamaa wanang'oa tu kilaini, na wakati mwingine hawa wanawake ndiyo wanajichekesha wenyewe kuonesha wanataka kitu kutoka kwa hao ma ex wao.

Nachelea kusema nakibaliana na jamaa mmoja humu aliwahi kusema nanukuu "ukioa mwanamke amabaye siyo bikra basi umeoa mke wa mtu.

Sasa ndugu zangu nipeni mawazo maana nahisi naelekea kutowaamini wanawake akiwemo mke wangu maana naye yumo

Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa inategemeana na aina ya mwanamke. But yes nina mfano hai. One of my ex aliolewa.. miaka miwili iliyopita. Binafsi nilishamfuta kwenye akili. But gafla juzi nikaona namba ngeni, kumbe ni yeye bwana.. si ndio akaanza soothing.. mara sijui bado naku.. basi maneno kibao. Ila nilichogundua anataka tena..
Na moja ya sheria zangu.. sitok na mke wa mtu hata kama alikuwa demu wangu huko nyuma.
Habari ndugu zangu,Poleni na mihangaiko ya kuhangaikia mikate yenu ya kila siku kuhakikisha Familia zenu zinapata mikate ya kila siku.

Narudi kwenye Mada Nina evidences zaidi ya 10 naona wake za watu wanapokutana na ma ex wao wanashindwa kujizuia, Jamaa wanang'oa tu kilaini, na wakati mwingine hawa wanawake ndiyo wanajichekesha wenyewe kuonesha wanataka kitu kutoka kwa hao ma ex wao.

Nachelea kusema nakibaliana na jamaa mmoja humu aliwahi kusema nanukuu "ukioa mwanamke amabaye siyo bikra basi umeoa mke wa mtu.

Sasa ndugu zangu nipeni mawazo maana nahisi naelekea kutowaamini wanawake akiwemo mke wangu maana naye yumo

Karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe acha tu.niamini Mimi wenzio wanakula mpaka vyako
kama vipi na we we kula tu
Hapa inategemeana na aina ya mwanamke. But yes nina mfano hai. One of my ex aliolewa.. miaka miwili iliyopita. Binafsi nilishamfuta kwenye akili. But gafla juzi nikaona namba ngeni, kumbe ni yeye bwana.. si ndio akaanza soothing.. mara sijui bado naku.. basi maneno kibao. Ila nilichogundua anataka tena..
Na moja ya sheria zangu.. sitok na mke wa mtu hata kama alikuwa demu wangu huko nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Roho mbaya ya nini maisha yenyewe mafupi haya peaneni msuuzike nafsi bhaah!
 
Back
Top Bottom