Wanawake hatari zaidi hapa Bongo

Wanawake hatari zaidi hapa Bongo

Mpigee kadi huyo hajui, yule ni nyonya roho kabisa
.
FB_IMG_1583214514660.jpg
 
Hatari na nusu.

Ndugu zangu leo nawapatia majina ya wanawake hatari mmoja bada ya mwingine ili nanyi muweze kushuhudia jinsi wanavyotisha. Katika mtiririko ufuatao Kadiri navyo waorodhesha ndivyo ukali unazidi, yaan wa kwanza anakuwa mkali anayefwata mkali zaidi. Hivyo hivyo.

Tunaanza sasa.
Namba moja Irene Uwoya.
View attachment 2552934

Hii pisi ni noma na nusu kwanza alianza na Ndikumana, ilikuwa ni ajabu yaan kifo cha mchezaji huyu nguli na jinsi wachezaji walivyo phisical fit lakini kwake haikuwa hivyo aliacha uhai ghafla.

Watu tukazani aaaha kawaida tu, mara akaja Janjaro watu tulishangaa sana. Mimi binafsi nilishtuka sana baada ya dogo kuanza kuimba nyimbo " your my banana" nikasema kimoyomoyo Yamekwisha. Yule dogo alifyonzwa vibaya mnno, full kupagawa mara akaanza kuvaa na magauni kwenye nyimbo zake. Yaani fujo tupuu, saa ivi amekondaaa anahitaji msaada wa haraka sana.

Number mbili kajala Frida.
View attachment 2552933

Weka mbali na vijana wa kiume, hii chata ni hatari hatari. Ameacha listi nyeusi sana, baadhi ya wahanga ni kama ifuatavyo:

Alianza na Godfaxa Majani alimfyonza na alivyo mwacha mwamba alipagawa sana, hakuamini kabisa hata zile touch zake kutengeneza melody kali za bongo fleva zikayeyuka, mwanadada kasepa nazo, mwamba akiangalia piano haoni tena melody bali vitufe vibonyezo tu vyeupe na vyeusi.

Mwamba wa pili sijui mengi juu yake ila nachojua akaishia JELA ... Hatari sanaa.
Mwamba wa tatu huyu wa majuzi sijui itakuwaje, HAMOO kiufupi ameyavaa kwa mwanamama, mpaka sasa harmo kabaki na bonge wa mdoa mweusi kwenye ugoko wa kulia sijui ilikuwaje, nachohofia zaidi kj kasepa na fuel nzima ya mshikaji, hivyo zile back tu back za kuachia ngoma ndo basi tenaa, inahudhunisha sana. Sasa maperfum yotee yale si ndo ukichaa. Nadharia niliyonayo ili kutokuzeeka ananyonya talenti au akili za wanaume.

Nimeweka picha zao msi za iangalie sana sio nzuri kwa afya zenu.
Hehehe
Msiwachane kihivyo bana

Waache watimize malengo yao waliyojipangia bila mbambamba.

Sisi tunachomoka na pisi sura za kazi.

Hao wakali endeleeni nao
 
Ila kama Uwoya watu wanapiga sana na anapenda one night stand, kugandana hataki,anatongoza mpaka wanaume ili mradi kutimiza hamu zake then kila mtu na time yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kala Jeremiah,Linex, Baga wale wana hela gani? Wote wamepiga ,kama Dude kapiga sana huyo Uwoya.Huko makambini wanapokaa wasanii kwa ajili ya kuandaa movie zao kuna mengi sana.
Basi atakuwa ana mix maana yake ukiangalia uwoya hakuna bishe ya maana anayofanya lakini anaishi maisha expensive
 
Basi atakuwa ana mix maana yake ukiangalia uwoya hakuna bishe ya maana anayofanya lakini anaishi maisha expensive
Wapo vipopa anaotembea nao,ila Uwoya akikuelewa anakutongoza .Huko makambini wanagongana kishenzi, huyo Baga kapiga mpaka Lulu Diva,kama Hemed yule naona kama atakuwa kamaliza mademu wote wa bongo movie.
 
Kuna huyu Zumarid hatar sana kwanza picha lianzaaaa kasepa na Jua chumbanj kwake siku iyoo dunia ilikaa ngizaa muda mrefu sana.....

Kuna huyu amberuty ndo kafanyaa bongo zima tanganyika yote inuke inyaaaaaaa...

Kuna huyu Zuwena wa diamond daaah kasepa na urith kabisaaaaa
Mkuu umetisha Sana
 
Back
Top Bottom