philipo njovu
Senior Member
- Dec 30, 2016
- 181
- 115
Washamba tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi navaa kawaida tu sinaga cha nguo za sikukuu. Sivai kibishoo kama vijana wengine wa Daslam ila huwa nahakikisha niko clean tu. Nipo casual!!!kwani kuvaa sana ndo usafi?
hii dabby huiwezi hii huwa special order kwa machalee ya arachugaLeo Nimevaa
Kioldskuld/kipapamafido kidogo maana swagga ni bongo ila hapa ni old.![]()
nyie ndo hamjui mnataka nini?kweli wanawake hawajui wanataka nini
usifanye mambo yawe complicated mkuu nadhani ujumbe wangu upo clear kabisaMara awe hivi mara awe vile.....that's your taste!!!
I was..i'm..chuganian. Guess what!hii dabby huiwezi hii huwa special order kwa machalee ya arachuga
wanaume wanadai eti hatujui tunataka nini.tukiwaambia tunataka hivi wanasema sisi hatujitambui .eti mkuu mwanaume unakuwa msaaafi mpaka unakera kweli ?Ni suala la kisaikolojia zaidi. Mwanamke kuna vitu anahitaji kutoka kwa mtu anayemuita mume, kimojawapo ni ULINZI. That sense of being safe haipatikani kwa mwanaume wa kujiremba, sura nzuri na nyoro nyoro. Namna yako ya kuvaa na kuongea inaweza kumfanya mkeo aone kama anakaa na mwanamke mwenzake ndani.
Ni ukweli usiopingika kuwa, mwanamke hufurahishwa na ubandidu wa dume lake, kuanzia kwenye muonekano hadi kwenye mechi. Nyie jipodoeni tu kama wadada mkidhani mtapendwa kwa nguo zenu na manukato. Miss Natafuta leo umepiga ikulu
endelea kupaka carolight!kwa wanaume wenzangu wote mtaosoma hii thread, please dont believe it, its a trap.
nyie ndo hamjui mnataka nini?
Waeleze!!!.....hivyohivyo unavyopigilia kuna duu anazimika, wengine wanaangalia your potential[emoji124]hawa viumbe bana, wanapenda tuwe wasaf af wachaf, warefu af wafup, tuwe na hela af tucwe nazo, wakal af wapole, wanene af wembamba, wazur af tuwe na sura mbaya, tupendeze af tucpendeze duu, kama mung akuwaridhsha je? mwanaume ataweza?
Kuumbe!!!.....ahsante BablaiNinachojua mimi wanawake hamjiamini kuwa una weza kumhandle handsome kwa hofu kuwa vicheche watamteka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kweli wanawake hawajui wanataka nini
Katika siku ambazo sijaelewa mada ni leo, yani nimetoka sifuri kabisa hapa, Ngoja waje warembo
anaemtaka huyo handsome ni nani sasa?Ninachojua mimi wanawake hamjiamini kuwa una weza kumhandle handsome kwa hofu kuwa vicheche watamteka