[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hicho kitabu mpaka leo sijakimaliza
Miss Natafuta, kwa kukusaidia tu kidogo kuna madada aliwahi kuniambia kitu kama hicho, lakini akasema kuwa "wanawake wanaojitambua ndiyo huwapenda wanaume kama uliowaelezea wewe".kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
Mmh lakini kati ya mwanaume na mwanamke..maumivu yake ya kuachwa hudumu zaidi ni nani kama sio nyie wanawakeNazani unaongea kinyume maana kesi za wanaume kufanya vulugu na kujinyonga baada ya kuachwa ni nyingi kuliko za wanawake.
Ya TYCS au...Milele amina. Mapendo!
Eh hahaYa TYCS au...
huo ndo ukweli mkuuMiss Natafuta, kwa kukusaidia tu kidogo kuna madada aliwahi kuniambia kitu kama hicho, lakini akasema kuwa "wanawake wanaojitambua ndiyo huwapenda wanaume kama uliowaelezea wewe".
Wanawake wengi siku hizi wanawapenda wale wanaowaita "mahandsome boys".
Kama hivyo sawa....Eh haha
Mwanamke kaumbiwa kuweke vitu rohoni hiyo ni nature but mwanamke ni mvumilivu hakuna mfano,ndomana mwanamke akitelekeza familia ni wanaume wachache wanaweza kumudu kuiendeleza lkini ni tofauti na mwanamke atasimama imala.Mmh lakini kati ya mwanaume na mwanamke..maumivu yake ya kuachwa hudumu zaidi ni nani kama sio nyie wanawake
Hapo kwenye jasho la kwapa umenipata, hua unapenda pia mavu-mba?😀😀kabla ya yote
picha haihusiani na story ni mfano tu wadau!
Mungu alituumba wanawake na roho nyepesi na huruma sana.tupo simple sana sema wanaume mefanya dunia kuwa sehemu ngumu ya kuishi
niwapeni siri wewe mwanaume hata uwe tajiri kiasi gani na hela za kuonga kiasi gani kama wewe una sura nzuri halafu unapenda sana kupigilia pamba yaani ile unajipenda penda sana ni nadra sana kupata mwanamke makini wa kukupenda. na kukufurahia hata uwe bilionea
wanawake wengi tunapenda wanaume wenye sura isiyoelezeka.na anaevaa kiume standard .
standard namaanisha kama ni kazini utamkuta na nguo za kazini za kawaida shati safi mikono mirefu kachomeka na kiatu cha kudumbukiza fresh. siku za kawaida jeans na tshirt na raba au sendoz
mwanaume anaenukia marashi yake kwa mbaali plus kikwapa cha mbaali hadi nyege zinakupanda si mnajua tena kwapa la mwanaume linamtoa nyoka pangoni? na nywele zake kazinyoa tu kawaida.
siku hizi nashangaa unakutana na mwanaume kajilipua kajilipua . unajiuliza huyu akifumaniwa anaanza kuvaa nini?
yaani kaka zangu na wadogo zangu nawaambieni kama wewe ni mzuuuri jua tu mkeo au mpenzi wako yupo mahali anakojoleshwa na mwenye sura ya kiume . wanawake ndo tulivo tunapenda wanaume wenye sura mbaya na waliokaa rafu ili hata nguo tuwanunulie wenyewe na kuwapendezesha wenyewe .mwanaume unajua kujipendezesha .kila kitu unajua wewe kuvaa na kunukia ni ngumu kwa kweli utasaidiwa sana hata kama hela unayo
so ni hivi acheni ndevu ziote ote acheni kulala saluni na harufu ya vikwapa tuisikie
tutawachuna tu tunasepa
[emoji16][emoji16][emoji106][emoji106]hii gia ni hatarKama hivyo sawa....
Mapendo Daima, Daima Mapendo..
GOD IS GOOD ALL THE TIME..ALL THE TIME GOD IS GOOD AND THAT IS NATURE WOW!!
hawa viumbe bana, wanapenda tuwe wasaf af wachaf, warefu af wafup, tuwe na hela af tucwe nazo, wakal af wapole, wanene af wembamba, wazur af tuwe na sura mbaya, tupendeze af tucpendeze duu, kama mung akuwaridhsha je? mwanaume ataweza?